monica nikupe mfano halisi ? Nlikuwa kigoma kikazi, nkakutana na mwanamke nlisomaga nae O-LEVEL, nikiri kabisa nlikuwaga namtamani, nae alikwa amekuja kikaz, Akanialika tukale luch wote tukapiga stori pale kila mtu akasepa kivyake, nimerud gheto kwangu kanitext kwamba aliinjoy kuniona na angefurah kama angeniona tena, nikamuuliza hata sasaiv, akasema yeah.. nikatimba kwake, kila nkigusa imo, nikafanya yangu.. Kesho yake nikatafuta account yake insta ile kumfollow kumbe she just got married few weeks ago.. the question is WHY DIDNT SHE TELL ME ? Why ?