Una mechi kesho usiku?

Una mechi kesho usiku?

Kama hujazoea huu mchanyanto wa hii diet sikushauri ujaribu maana lazima utaishia kukaa benchi hata mechi hutocheza.

Glass mbili za juice ya ukwaju lazima utaishia kuharisha tu labda iwe diluted sana karibia kuwa maji.
 
Jiandae kwa diet hii
Asubuhi saa moja: maziwa fresh ya moto na mayai ya kuchemsha mawili.

Saa nne asubuhi: glass mbili za juice ya miwa.

Saa saba mchana: ugali wa dona na foil ya samaki au nyama na mbogamboga.

Saa tisa adhuhuri: glass 2 za fresh juice ya ukwaju/ miwa.

Kumi na mbili jioni: mchemsho wowote.

Saa mbili usiku: supu ya pweza na pweza wake, valuer bapa na redbul moja.

Saa nne usiku: kama timu pinzani ishaingia uwanjani anza mtanange.

mimi nina mechi muda mfupi ujao nafanyaje?
 
Asubuhi saa moja: maziwa fresh ya moto na mayai ya kuchemsha mawili: 3000

Saa nne asubuhi: glass mbili za juice ya miwa:2000

Saa saba mchana: ugali wa dona na foil ya samaki au nyama na mbogamboga:10,000

Saa tisa adhuhuri: glass 2 za fresh juice ya ukwaju/ miwa:3000

Kumi na mbili jioni: mchemsho wowote:2000

Saa mbili usiku: supu ya pweza na pweza wake, valuer bapa na redbul moja:10,000


yaani elfu thelathini kujiandaa tu wakati huo ni mshahara wa mfanyakazi wa ndani mkuu upo seriously kweli na maisha!!!

hahahaha
watu wameamua kufanya cost analysis
 
Jiandae kwa diet hii
Asubuhi saa moja: maziwa fresh ya moto na mayai ya kuchemsha mawili.

Saa nne asubuhi: glass mbili za juice ya miwa.

Saa saba mchana: ugali wa dona na foil ya samaki au nyama na mbogamboga.

Saa tisa adhuhuri: glass 2 za fresh juice ya ukwaju/ miwa.

Kumi na mbili jioni: mchemsho wowote.

Saa mbili usiku: supu ya pweza na pweza wake, valuer bapa na redbul moja.

Saa nne usiku: kama timu pinzani ishaingia uwanjani anza mtanange.

pole sana mkuu....mechi mpaka maandalizi ya masaa 24!!!
 
Jiandae kwa diet hii
Asubuhi saa moja: maziwa fresh ya moto na mayai ya kuchemsha mawili.

Saa nne asubuhi: glass mbili za juice ya miwa.

Saa saba mchana: ugali wa dona na foil ya samaki au nyama na mbogamboga.

Saa tisa adhuhuri: glass 2 za fresh juice ya ukwaju/ miwa.

Kumi na mbili jioni: mchemsho wowote.

Saa mbili usiku: supu ya pweza na pweza wake, valuer bapa na redbul moja.

Saa nne usiku: kama timu pinzani ishaingia uwanjani anza mtanange.


ahaha hii ni ya wale waliopania

sasa kama una ndoa ndio hiyo diet inabidi uwe unaifata every two days or :A S wink:

Kitambi cha kufikia
 
harafu hii nadhani ni kwa wale wenye nguvu za kiume zisizoeleweka kama gari ya kusukuma:flame:
 
Aiseeee hapo mechi lazima iwe ya kukata na shoka
 
Watu wanashindia biscute lakn fresh tuu labda 7bu ya kiafya tuu ule vizuri ila sio kuwapa bajeti ya kuvuruga bajeti za watu za siku kisa Haburaaaa
 
Kaka umesahau na uvumilivu mana mmmhhh! si mchezo yani Kaka samtym I feel like dah we acha tu Kaka ....ni sheeeedah

I know the feeling!! Sometimes it engulfs with unbearable desires
 
mh unakula hivyo kitambi kitakuacha ?



Jiandae kwa diet hii
Asubuhi saa moja: maziwa fresh ya moto na mayai ya kuchemsha mawili.

Saa nne asubuhi: glass mbili za juice ya miwa.

Saa saba mchana: ugali wa dona na foil ya samaki au nyama na mbogamboga.

Saa tisa adhuhuri: glass 2 za fresh juice ya ukwaju/ miwa.

Kumi na mbili jioni: mchemsho wowote.

Saa mbili usiku: supu ya pweza na pweza wake, valuer bapa na redbul moja.

Saa nne usiku: kama timu pinzani ishaingia uwanjani anza mtanange.
 
Watu wanashindia biscute lakn fresh tuu labda 7bu ya kiafya tuu ule vizuri ila sio kuwapa bajeti ya kuvuruga bajeti za watu za siku kisa Haburaaaa

Kama huumwi malaria ni vigumu kujua kama inatibiwa na quinine
 
Badala ya kufaya hayo yote mpinzani wako mwandalie yafutayo li mechi inoge:
1. Mkaribishe kwa ukarimu wa hali ya juu
2. Mwandalie chakula kizuri na mkile wote kwa pamoja hukumkipiga stories za mapenzi
3.Mandalie kinywa laini kwa yule asiyetumia kikali
4. Andaa eneo tulivu
5. weka mziki mwororo
6.Kama ni usiku weka dimlight
7.Taratibu anza process

Ni hayo tu kama unamenine utaongeza
kwa maandalizi haya hii itakuwa ni mechi ya pull table, haihitaji nguvu kabisa.
 
Back
Top Bottom