Una mechi kesho usiku?

Una mechi kesho usiku?

Hujamaizia hesabu, hapo kwenye mchemsho haiwezi kuwa 2000 labda 5000.
Hiyo mechi kama inachezewa uwanja wa ugenini itakuwa na gharama za kiwanja, kwa viwanja vya kawaida kabisa 30000.
Timu pinzani haitaingia uwanjani moja kwa moja lazima kutakuwa na viburudisho kidogo tuseme kama 10,000.
Kunaweza kuwa na gharama za kuja na kuondoka kwa timu pinzani, hapo weka 20,000

baada ya mechi huwa kuna mgawanyo wa mapato ya pambano hapo kiwango cha chini kiwe 30,000 kutegemeana na aina ya timu.


kwa hiyo kwenye total ongoza 93,000 hapo

30,000 + 93,000=123,000/=

mwingine aongeze expenses ambazo hazijatajwa kwenye hii mechi

Mkuu usijaribu kumtokea miss chagga na mahesabu yako hayo!!!
 
Last edited by a moderator:
mimi huwa nikishitukizwa ndo nashinda game kiustadi, nikijiandaa sana nakuwa nervous
 
Jiandae kwa diet hii
Asubuhi saa moja: maziwa fresh ya moto na mayai ya kuchemsha mawili

Saa nne asubuhi: glass mbili za juice ya miwa

Saa saba mchana: ugali wa dona na foil ya samaki au nyama na mbogamboga

Saa tisa adhuhuri: glass 2 za fresh juice ya ukwaju/ miwa

Kumi na mbili jioni: mchemsho wowote

Saa mbili usiku: supu ya pweza na pweza wake, valuer bapa na redbul moja

Saa nne usiku: kama timu pinzani ishaingia uwanjani anza mtanange

mimi nipo pekeangu hakutanoga..
 
Hujamaizia hesabu, hapo kwenye mchemsho haiwezi kuwa 2000 labda 5000.
Hiyo mechi kama inachezewa uwanja wa ugenini itakuwa na gharama za kiwanja, kwa viwanja vya kawaida kabisa 30000.
Timu pinzani haitaingia uwanjani moja kwa moja lazima kutakuwa na viburudisho kidogo tuseme kama 10,000.
Kunaweza kuwa na gharama za kuja na kuondoka kwa timu pinzani, hapo weka 20,000

baada ya mechi huwa kuna mgawanyo wa mapato ya pambano hapo kiwango cha chini kiwe 30,000 kutegemeana na aina ya timu.


kwa hiyo kwenye total ongoza 93,000 hapo

30,000 + 93,000=123,000/=

mwingine aongeze expenses ambazo hazijatajwa kwenye hii mechi

hapo lazima mtatoka wote kama huna usafiri lazima umpe hela ya usafiri nje na za mwanzo sasa hapo ongeza minimum 10,000 duuh.......
 
Yetooo!!!!!
Jiandae kwa diet hii
Asubuhi saa moja: maziwa fresh ya moto na mayai ya kuchemsha mawili

Saa nne asubuhi: glass mbili za juice ya miwa

Saa saba mchana: ugali wa dona na foil ya samaki au nyama na mbogamboga

Saa tisa adhuhuri: glass 2 za fresh juice ya ukwaju/ miwa

Kumi na mbili jioni: mchemsho wowote

Saa mbili usiku: supu ya pweza na pweza wake, valuer bapa na redbul moja

Saa nne usiku: kama timu pinzani ishaingia uwanjani anza mtanange
 
Jiandae kwa diet hii
Asubuhi saa moja: maziwa fresh ya moto na mayai ya kuchemsha mawili

Saa nne asubuhi: glass mbili za juice ya miwa

Saa saba mchana: ugali wa dona na foil ya samaki au nyama na mbogamboga

Saa tisa adhuhuri: glass 2 za fresh juice ya ukwaju/ miwa

Kumi na mbili jioni: mchemsho wowote

Saa mbili usiku: supu ya pweza na pweza wake, valuer bapa na redbul moja

Saa nne usiku: kama timu pinzani ishaingia uwanjani anza mtanange

Anaetakiwa kula ivo ni mwanamke ama mwanaume?
 
Jiandae kwa diet hii
Asubuhi saa moja: maziwa fresh ya moto na mayai ya kuchemsha mawili

Saa nne asubuhi: glass mbili za juice ya miwa

Saa saba mchana: ugali wa dona na foil ya samaki au nyama na mbogamboga

Saa tisa adhuhuri: glass 2 za fresh juice ya ukwaju/ miwa

Kumi na mbili jioni: mchemsho wowote

Saa mbili usiku: supu ya pweza na pweza wake, valuer bapa na redbul moja

Saa nne usiku: kama timu pinzani ishaingia uwanjani anza mtanange

Badala ya kufaya hayo yote mpinzani wako mwandalie yafutayo li mechi inoge:
1. Mkaribishe kwa ukarimu wa hali ya juu
2. Mwandalie chakula kizuri na mkile wote kwa pamoja hukumkipiga stories za mapenzi
3.Mandalie kinywa laini kwa yule asiyetumia kikali
4. Andaa eneo tulivu
5. weka mziki mwororo
6.Kama ni usiku weka dimlight
7.Taratibu anza process

Ni hayo tu kama unamenine utaongeza
 
Asubuhi saa moja: maziwa fresh ya moto na mayai ya kuchemsha mawili: 3000

Saa nne asubuhi: glass mbili za juice ya miwa:2000

Saa saba mchana: ugali wa dona na foil ya samaki au nyama na mbogamboga:10,000

Saa tisa adhuhuri: glass 2 za fresh juice ya ukwaju/ miwa:3000

Kumi na mbili jioni: mchemsho wowote:2000

Saa mbili usiku: supu ya pweza na pweza wake, valuer bapa na redbul moja:10,000


yaani elfu thelathini kujiandaa tu wakati huo ni mshahara wa mfanyakazi wa ndani mkuu upo seriously kweli na maisha!!!

Siwezi kumshangaa kwini watu wengine ndo wameinvest ktk nyanja hizo
 
Vyakula vyote hivo vya nini wakati kwetu milo mitatu ni ya kubahatisha.
 
Ng'ombe hanenepi mnadani, mlo kamili sio jambo la siku moja tu, hiyo ni tabia ya mtu, Roma haikujengwa kwa siku moja!
 
Back
Top Bottom