Una mechi kesho usiku?

Una mechi kesho usiku?

hayo maandalizi mbona yanazidi hata umuhimu wa mechi yenyewe...
 
Asubuhi saa moja: maziwa fresh ya moto na mayai ya kuchemsha mawili: 3000

Saa nne asubuhi: glass mbili za juice ya miwa:2000

Saa saba mchana: ugali wa dona na foil ya samaki au nyama na mbogamboga:10,000

Saa tisa adhuhuri: glass 2 za fresh juice ya ukwaju/ miwa:3000

Kumi na mbili jioni: mchemsho wowote:2000

Saa mbili usiku: supu ya pweza na pweza wake, valuer bapa na redbul moja:10,000


yaani elfu thelathini kujiandaa tu wakati huo ni mshahara wa mfanyakazi wa ndani mkuu upo seriously kweli na maisha!!!

Duuh kweli kiuchumi zaidi
 
Jiandae kwa diet hii
Asubuhi saa moja: maziwa fresh ya moto na mayai ya kuchemsha mawili.

Saa nne asubuhi: glass mbili za juice ya miwa.

Saa saba mchana: ugali wa dona na foil ya samaki au nyama na mbogamboga.

Saa tisa adhuhuri: glass 2 za fresh juice ya ukwaju/ miwa.

Kumi na mbili jioni: mchemsho wowote.

Saa mbili usiku: supu ya pweza na pweza wake, valuer bapa na redbul moja.

Saa nne usiku: kama timu pinzani ishaingia uwanjani anza mtanange.

ushindi utakaoupata kama ushindi wa yanga kesho
 
😕kwan vita mkuu, kukomoana😕au kupata ndiy kwa manati😕

Kwani kuna silaha hapo? Sijui kwanini wengi wametafsiri ndivyo sivyo, mi nimezungumzia diet inayoleta better performance watu wanakimbilia kusema ni maandalizi ya kukomoana, nitatoa majumuisho mwishoni
 
Maji ya kunywa nje ya ratiba hapo.

Nina uhakika lazima uvimbilwe/uvimbiwe, tumbo litakuwa zito siku nzima
 
Kwani kuna silaha hapo? Sijui kwanini wengi wametafsiri ndivyo sivyo, mi nimezungumzia diet inayoleta better performance watu wanakimbilia kusema ni maandalizi ya kukomoana, nitatoa majumuisho mwishoni

Mkuu maandalizi ya chakula kabla ya mechi ni nidhamu ya kutokujiamini and kukamia..Mwanaume unatakiw uwe fit muda wowote na daily diet kwa afya kama uwezo unaruhusu
 
Asubuhi saa moja: maziwa fresh ya moto na mayai ya kuchemsha mawili: 3000

Saa nne asubuhi: glass mbili za juice ya miwa:2000

Saa saba mchana: ugali wa dona na foil ya samaki au nyama na mbogamboga:10,000

Saa tisa adhuhuri: glass 2 za fresh juice ya ukwaju/ miwa:3000

Kumi na mbili jioni: mchemsho wowote:2000

Saa mbili usiku: supu ya pweza na pweza wake, valuer bapa na redbul moja:10,000


yaani elfu thelathini kujiandaa tu wakati huo ni mshahara wa mfanyakazi wa ndani mkuu upo seriously kweli na maisha!!!

hahaha...duuuuu!
 
Mkuu maandalizi ya chakula kabla ya mechi ni nidhamu ya kutokujiamini and kukamia..Mwanaume unatakiw uwe fit muda wowote na daily diet kwa afya kama uwezo unaruhusu

Chakula sahihi ni muhimu sana kwa best performance, kujiamini ni kitu kingine kabisa lakini vinashirikiana, hutakiwi kukidharau kimoja, itakula kwako TAKE IT FROM ME...!!! We need calories bro
 
Hahaha du Mkuu hivyo lazma uumwe kwanza hats mtanange hutauweza
 
Back
Top Bottom