Una mechi kesho usiku?

Una mechi kesho usiku?

Aaah huu ni utumwa. Mimi huwa sina maandalizi yoyote zaidi ya kununua kyondom tu
 
Jiandae kwa diet hii
Asubuhi saa moja: maziwa fresh ya moto na mayai ya kuchemsha mawili.

Saa nne asubuhi: glass mbili za juice ya miwa.

Saa saba mchana: ugali wa dona na foil ya samaki au nyama na mbogamboga.

Saa tisa adhuhuri: glass 2 za fresh juice ya ukwaju/ miwa.

Kumi na mbili jioni: mchemsho wowote.

Saa mbili usiku: supu ya pweza na pweza wake, valuer bapa na redbul moja.

Saa nne usiku: kama timu pinzani ishaingia uwanjani anza mtanange.

Labda kazi yangu iwe kuigiza movie za porn maana kwa harakati za utafutaji nilizo nazo mimi kupata hiyo series ya menu ni fatique
 
Jiandae kwa diet hii
Asubuhi saa moja: maziwa fresh ya moto na mayai ya kuchemsha mawili.

Saa nne asubuhi: glass mbili za juice ya miwa.

Saa saba mchana: ugali wa dona na foil ya samaki au nyama na mbogamboga.

Saa tisa adhuhuri: glass 2 za fresh juice ya ukwaju/ miwa.

Kumi na mbili jioni: mchemsho wowote.

Saa mbili usiku: supu ya pweza na pweza wake, valuer bapa na redbul moja.

Saa nne usiku: kama timu pinzani ishaingia uwanjani anza mtanange.
hatari sana
 
Jiandae kwa diet hii
Asubuhi saa moja: maziwa fresh ya moto na mayai ya kuchemsha mawili.

Saa nne asubuhi: glass mbili za juice ya miwa.

Saa saba mchana: ugali wa dona na foil ya samaki au nyama na mbogamboga.

Saa tisa adhuhuri: glass 2 za fresh juice ya ukwaju/ miwa.

Kumi na mbili jioni: mchemsho wowote.

Saa mbili usiku: supu ya pweza na pweza wake, valuer bapa na redbul moja.

Saa nne usiku: kama timu pinzani ishaingia uwanjani anza mtanange.

Hahaha hy ni bajet ya dushe tu loh ni noma
 
Hujamaizia hesabu, hapo kwenye mchemsho haiwezi kuwa 2000 labda 5000.
Hiyo mechi kama inachezewa uwanja wa ugenini itakuwa na gharama za kiwanja, kwa viwanja vya kawaida kabisa 30000.
Timu pinzani haitaingia uwanjani moja kwa moja lazima kutakuwa na viburudisho kidogo tuseme kama 10,000.
Kunaweza kuwa na gharama za kuja na kuondoka kwa timu pinzani, hapo weka 20,000

baada ya mechi huwa kuna mgawanyo wa mapato ya pambano hapo kiwango cha chini kiwe 30,000 kutegemeana na aina ya timu.


kwa hiyo kwenye total ongoza 93,000 hapo

30,000 + 93,000=123,000/=

mwingine aongeze expenses ambazo hazijatajwa kwenye hii mechi

Kuna yule mtu anaelinda usalama msipigwe chabo au kufumaniwa je
 
Jiandae kwa diet hii
Asubuhi saa moja: maziwa fresh ya moto na mayai ya kuchemsha mawili.

Saa nne asubuhi: glass mbili za juice ya miwa.

Saa saba mchana: ugali wa dona na foil ya samaki au nyama na mbogamboga.

Saa tisa adhuhuri: glass 2 za fresh juice ya ukwaju/ miwa.

Kumi na mbili jioni: mchemsho wowote.

Saa mbili usiku: supu ya pweza na pweza wake, valuer bapa na redbul moja.

Saa nne usiku: kama timu pinzani ishaingia uwanjani anza mtanange.
Saa nne usiku: kama timu pinzani ishaingia uwanjani anza mtanange.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Saa nne usiku: kama timu pinzani ishaingia uwanjani anza mtanange.
emoji1787.png



Sent using Jamii Forums mobile app
Mtani ukishindana na ulipotoka utashindwa tu.Unajikomoa kwani unachimba tanzanite?.We mpare juhudi zako kwa hilo ungezigeuzia kwenye kutafuta pesa "Avae" ungekuwa bilionea.Halafu hamna mpare anasema supu huwa mnasema thupu.
 
Mtani ukishindana na ulipotoka utashindwa tu.Unajikomoa kwani unachimba tanzanite?.We mpare juhudi zako kwa hilo ungezigeuzia kwenye kutafuta pesa "Avae" ungekuwa bilionea.Halafu hamna mpare anasema supu huwa mnasema thupu.
Thawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom