Wengine hatuhitaji kufanya maandalizi yote hayo
Kwani zamani za mababu zetu nao walikuwa wanafanya haya?
Kwani kunamieleka au?
Asubuhi saa moja: maziwa fresh ya moto na mayai ya kuchemsha mawili: 3000
Saa nne asubuhi: glass mbili za juice ya miwa:2000
Saa saba mchana: ugali wa dona na foil ya samaki au nyama na mbogamboga:10,000
Saa tisa adhuhuri: glass 2 za fresh juice ya ukwaju/ miwa:3000
Kumi na mbili jioni: mchemsho wowote:2000
Saa mbili usiku: supu ya pweza na pweza wake, valuer bapa na redbul moja:10,000
yaani elfu thelathini kujiandaa tu wakati huo ni mshahara wa mfanyakazi wa ndani mkuu upo seriously kweli na maisha!!!
eti miss chagga huyu jamaa analalamika kumlipa beki3 30,000 nikimwongezea mshahara si utanijia juu kuwa namtaka!!! mshana jr utaharibu bhana!!!
Kweli mkuu, wengine tukiona vile vigezo vimetimia basi balaa moja kwa moja. Hasa kile kigezo kikuu...
kwa wiki itakuwa 30,000 x 4=120,000 au 30000x3=90000,maana wanashauri lazima uingie kwenye kitobo walau mara 4 au 3 kwa wiki.
kwa wiki itakuwa 30,000 x 4=120,000 au 30000x3=90000,maana wanashauri lazima uingie kwenye kitobo walau mara 4 au 3 kwa wiki.