Mkuu usijaribu kumtokea miss chagga na mahesabu yako hayo!!!
mkuu mimi mwenyewe nilitaka nimpe jibu hilo,hongera zake kwa kufanya hayo.Asubuhi saa moja: maziwa fresh ya moto na mayai ya kuchemsha mawili: 3000
Saa nne asubuhi: glass mbili za juice ya miwa:2000
Saa saba mchana: ugali wa dona na foil ya samaki au nyama na mbogamboga:10,000
Saa tisa adhuhuri: glass 2 za fresh juice ya ukwaju/ miwa:3000
Kumi na mbili jioni: mchemsho wowote:2000
Saa mbili usiku: supu ya pweza na pweza wake, valuer bapa na redbul moja:10,000
yaani elfu thelathini kujiandaa tu wakati huo ni mshahara wa mfanyakazi wa ndani mkuu upo seriously kweli na maisha!!!
duu p.u.mbu zimeingia ndan baada ya kusoma.mbona anabajeti finyu hivyo anipitie mbali kabisa
mnaboost...eh eh eh uko mnakoishi network hakuna?? Yani mzigo ni low connectivity mpaka uweke vocha za kurusha, vocha za kukwangua, mini kabang, uchaji betri, uweke application yooooote ndo network ishike?? sasa si uache wenye 3G H+ tutwange kote kote???????eh eh eh... Mzoea vya kunyonga, akipewa vya kuchinja atakimbiaaaaaaaaaaa!!!!!
tatizo akina dada nao wamezidi, ukimpa cha afya ki1 wao wanakutangaza mtaani kuwa huwezi kitu, sasa inabidi ukimpata umkomoe ili asikutangaze
Khe mbona kama mipasho ...!?
Kama weekend tayari ishafika ......
we ndo umepotea naona umerudi na zawadi nzito hii...
duu p.u.mbu zimeingia ndan baada ya kusoma.
Jiandae kwa diet hii
Asubuhi saa moja: maziwa fresh ya moto na mayai ya kuchemsha mawili.
Saa nne asubuhi: glass mbili za juice ya miwa.
Saa saba mchana: ugali wa dona na foil ya samaki au nyama na mbogamboga.
Saa tisa adhuhuri: glass 2 za fresh juice ya ukwaju/ miwa.
Kumi na mbili jioni: mchemsho wowote.
Saa mbili usiku: supu ya pweza na pweza wake, valuer bapa na redbul moja.
Saa nne usiku: kama timu pinzani ishaingia uwanjani anza mtanange.