Una cheti nina mume

Kama cheti mali kitandike kitandani kwako ukilalie. Au jaribu kujifunika nacho kikutie joto. Nachekajeeee? Halooooooooo?
Na wanangu wana haki zote kwa baba yao.
Nakukumbusha tu.
Da sophy buana za miaka mingi
 
Wewe baki na mume yeye abaki na cheti ...mwisho wa season ndo utajua ....wewe utabaki na watoto mume ataenda kwa mwenye cheti
 
Wanangu kusoma shule nzuri tu ndio linakushuka shuuuuu! Kumbuka anayesomesha wanangu ndiye aliyesomesha wanao, ni baba yao. Hawa watoto ni ndugu, acha roho mbaya.
Mume mwenyewe ulikuwa unamuona boya. Nimemchukua nimemtunza kapendeza sasa ndio unakumbuka ulikuwa umeolewa. Kaa na cheti chako umechelewa stendi.....Pole weeeee!
Sisi ni familia moja sasa upende usipende. Watoto wetu ni ndugu na wanajuana. Jiheshimu uheshimiwe.
Daaah!
 

mi minyukano ya hivi naipenda ni usiku namnyuka huyu mpango wa kando mpaka arudi kuniomba samahani
 
Aseee nimeenda kumfyukunyua huko doooooh huyu mtu ni mshari mnooo.... Ana kazi haswa but Nampa pole hata huyo mwanaume aliyejitoa mhanga
Vingine "vinakatikia" tu dada angu wala sio mipango.unaogopa kuongeza dhambi ya kuua kwenye ile ya kuzini na kutelekeza watoto inakua ngumu ndo yanatokea kama haya.
Nyumba ndogo ya "kiswahili" namna hii hapana aisee!!
 
Nyie wenye vyeti acheni kuharibu ndoa za watu.
Mmekalia kutafuta vyeti, mwisho mmekosa Wame, mnaanza kuiba Wame za watu.
Acheni hiyo tabia ni mbaya Sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…