Seif Mselem
JF-Expert Member
- Oct 16, 2023
- 257
- 441
Kama Umekuwa ukijiuliza ni Jinsi gani watu Wanaweza kutengeneza PESA Nyingi bila hata ya Kuwa na Cheti Kimoja basi.
Makala hii ya Leo ni DHAHABU Kwako kwasababu itaenda kukuonesha Utofauti Uliopo kati ya Mtu mwenye Cheti na asiye na cheti ila kabla Sijakwambia naomba Kwanza nikupe hii Story Fupi ya huyu Mtu anaitwa “Tony Robbins”
Kama Hufahamu tu Tony Robbins ni Mwandishi wa Kimarekani, Coach na Motivational Speaker aliyeweza Kuwasadia zaidi ya watu Millioni 50 kutoka kwenye Changamoto mbalimbali za Maisha yao ikiwemo:
Vile Vile ni mtu Pekee anayeweza kutengeneza zaidi ya US Dolla 80 Millioni kila mwaka Kupitia Seminars, Podcast na Kuuza Vitabu vyake. "Amewezaje Sasa Kutengeneza Pesa nyingi Kiasi Hicho?"
(Unaweza Kujiuliza)!
Okay Vizuri, Ili uweze Kunielewa Vizuri ngoja Nikurudishe nyuma Kidogo miaka ya 80’s wakati Tony anaanza Kujifunza Career yake alianza kwa Kujifunza kitu Kimoja kinaitwa “Neuro-Linguistic Programming (NLP)”
Kwa Ufupi Tu NLP ni inahusu kujifunza Jinsi gani Mawazo ya mtu yana Athiri Tabia zake. Yaani unajifunza ni Jinsi gani Ubongo una tafsiri Signals Inazopokea na Jinsi gani tafsiri ya hizo Taarifa kwenye Ubongo ina affect kile Mtu anachokuwa anakifanya kwenye Maisha halisi.
Na Ubongo unafanya hivyo kwa Kutumia “Linguistic Language” kwahiyo Tony alienda Kujifunza huu Ujuzi na
Alikuwa amejiunga Kusoma hiyo Course kwa Miezi 6 tu… na baada ya Siku chache akatokea Kulipenda hilo Somo la NLP.
Kwasababu alilipenda Haikuchukua muda akawa Amejifunza na Kuelewa vitu vingi kwa Muda mfupi na hapo hapo Tony akataka Kuanza kuwasaidia watu.
Siku moja Usiku alipokuwa Akienda kuwasaidia Watu mtaani, trainer wake Akamwambia “You can’t go help people Because you’re NOT Certified yet”. Yaani kwa Lugha yetu ya Kibongo ni kwamba, “Huwezi kwenda Kuwasaidia watu Kwasababu bado huna Cheti”
Tony akamjibu kwa Mshangao…
“Certified? I know how to help People. Let’s go help!”
Akiwa ana Maanisha kwamba “Cheti? Najua jinsi ya Kusaidia watu. Twende Tukawasaidie”
Jamaa akatoka zake kwa Kujiamini nje ya Hostel alizokuwa anaishi kisha akaingaia Mtaani kwenye Migahawa ya Karibu. Akaanza Kusaidia watu. Unajua Nini Kilitokea baada ya Hapo?
Hahahaaaa. Yeah, uko Sahihi. Alifukuzwa kujifunza hiyo Program kwasababu… Alikuwa anawafundisha watu huku akiwa hana Cheti!
Unajua nini Kilitokea? Tony aliondoka pale Bila cheti na akaenda Kufundisha kile alichokuwa anakijua kitawapa watu Matokeo na hadi hapa Ninapoandika tayari ameshawasaidia zaidi ya Watu Millioni 50 kupitia Neuro-Linguistic Programming (NLP)!
Na Baadhi ya watu wakubwa Aliyoweza kuwasaidia ni Pamoja na Leonardo DiCaprio, Mother Teresa, Nelson Mandela, Bill Clinton, Serena Williams Opray Winfrey n.k
Na Ameweza kufanya yote hayo Bila ya kuwa na CHETI Chochote Juu ya kile anachofundisha!
Sasa Mselem, Kwanini Unanambia yote Haya?
Yeah Bora Umeuliza…
Ukweli ni kwamba…
Watu wengi kwenye Maisha wamekuwa wakiaminishwa kwamba Huwezi kufanya kitu chchote kile bila kuwa na Chet
Na ndio maana Rundo la watu kila Siku wana songamana Vyuoni kwenda kutafuta vyeti. Sio kwamba hawajui kufanya vitu ila ni kwasababu ameaminishwa ili uweze kufanya kazi flani basi Lazima uwe na Cheti.
Haiko hivyo wala Haifananii na Hivyo kitu pekee unachotakiwa kuwa nacho ni UJUZI wa Kufanya unachotaka Kukifanya ili uwasaidie watu.
Ujuzi ukiutumia kuwasaidia watu, Utakupa kitu kinaitwa RESULTS!
Au matokeo na matokeo ndio CHETI Chako (Your Results are Your Certification)
Kama umeweza Kutengeneza mwili wako kwa Kufanya Seti flani ya Mazoezi… Unadhani unahitaji Cheti kutoka Gym X ili Umsadie mtu mwingine apate Matokeo kama yako? Jibu ni HAPANA kwahiyo kwenye haya Maisha uhitaji kuwa na Cheti ili uweze kusaidia watu unahitaji kuwa na “PROVEN Way” ya Kupata matokeo ambayo Mtu mwingine akiitumia pia atapata kile ulichokipata Wewe.
As long as kile Unachompa mtu mwingine Akitumie kinafanya Kazi…Mzee wewe tayari ni “EXPERT”. Wewe Jiulize…
Watu wangapi hapa BONGO wanawasaidia watu na Kupata matokeo wanayotaka Ikiwa hawana hata Vyeti vya Kile wanachofundisha?
Wako wengi Mno…
Brother Joel Nanauka anafundisha watu Vitu vingi na hana Cheti chochote kwenye hivyo Vitu
Chris Mauki anafundisha watu kuhusu Mahusiano na hana Cheti Chochote kwenye Mahusiano
Kwahiyo mzee uhitaji kuwa na Cheti ili Usaidie watu. Otherwise uwe unataka kuwa Daktari au Mwanasheria
Ila kama kweli Unataka kuwa Mjasiriamali basi. Be REALLY GOOD at What you do and FOCUS on Getting People Results!
Mengine mwachie Mwalimu wa Mathee. Uwe na Asubuhi Njema. Gracias…
By the way. Nilitaka Kusahau kama una Maoni au Mawazo juu ya Hili Somo La Leo Basi Nafasi ya Comments iko wazi. Karibu tu Discuss.
Seif Mselem
Makala hii ya Leo ni DHAHABU Kwako kwasababu itaenda kukuonesha Utofauti Uliopo kati ya Mtu mwenye Cheti na asiye na cheti ila kabla Sijakwambia naomba Kwanza nikupe hii Story Fupi ya huyu Mtu anaitwa “Tony Robbins”
Kama Hufahamu tu Tony Robbins ni Mwandishi wa Kimarekani, Coach na Motivational Speaker aliyeweza Kuwasadia zaidi ya watu Millioni 50 kutoka kwenye Changamoto mbalimbali za Maisha yao ikiwemo:
Uvutaji sigara
Unywaji wa Pombe
Utumiaji wa Madawa ya Kulevya n.k
Vile Vile ni mtu Pekee anayeweza kutengeneza zaidi ya US Dolla 80 Millioni kila mwaka Kupitia Seminars, Podcast na Kuuza Vitabu vyake. "Amewezaje Sasa Kutengeneza Pesa nyingi Kiasi Hicho?"
(Unaweza Kujiuliza)!
Okay Vizuri, Ili uweze Kunielewa Vizuri ngoja Nikurudishe nyuma Kidogo miaka ya 80’s wakati Tony anaanza Kujifunza Career yake alianza kwa Kujifunza kitu Kimoja kinaitwa “Neuro-Linguistic Programming (NLP)”
Kwa Ufupi Tu NLP ni inahusu kujifunza Jinsi gani Mawazo ya mtu yana Athiri Tabia zake. Yaani unajifunza ni Jinsi gani Ubongo una tafsiri Signals Inazopokea na Jinsi gani tafsiri ya hizo Taarifa kwenye Ubongo ina affect kile Mtu anachokuwa anakifanya kwenye Maisha halisi.
Na Ubongo unafanya hivyo kwa Kutumia “Linguistic Language” kwahiyo Tony alienda Kujifunza huu Ujuzi na
Alikuwa amejiunga Kusoma hiyo Course kwa Miezi 6 tu… na baada ya Siku chache akatokea Kulipenda hilo Somo la NLP.
Kwasababu alilipenda Haikuchukua muda akawa Amejifunza na Kuelewa vitu vingi kwa Muda mfupi na hapo hapo Tony akataka Kuanza kuwasaidia watu.
Siku moja Usiku alipokuwa Akienda kuwasaidia Watu mtaani, trainer wake Akamwambia “You can’t go help people Because you’re NOT Certified yet”. Yaani kwa Lugha yetu ya Kibongo ni kwamba, “Huwezi kwenda Kuwasaidia watu Kwasababu bado huna Cheti”
Tony akamjibu kwa Mshangao…
“Certified? I know how to help People. Let’s go help!”
Akiwa ana Maanisha kwamba “Cheti? Najua jinsi ya Kusaidia watu. Twende Tukawasaidie”
Jamaa akatoka zake kwa Kujiamini nje ya Hostel alizokuwa anaishi kisha akaingaia Mtaani kwenye Migahawa ya Karibu. Akaanza Kusaidia watu. Unajua Nini Kilitokea baada ya Hapo?
Hahahaaaa. Yeah, uko Sahihi. Alifukuzwa kujifunza hiyo Program kwasababu… Alikuwa anawafundisha watu huku akiwa hana Cheti!
Unajua nini Kilitokea? Tony aliondoka pale Bila cheti na akaenda Kufundisha kile alichokuwa anakijua kitawapa watu Matokeo na hadi hapa Ninapoandika tayari ameshawasaidia zaidi ya Watu Millioni 50 kupitia Neuro-Linguistic Programming (NLP)!
Na Baadhi ya watu wakubwa Aliyoweza kuwasaidia ni Pamoja na Leonardo DiCaprio, Mother Teresa, Nelson Mandela, Bill Clinton, Serena Williams Opray Winfrey n.k
Na Ameweza kufanya yote hayo Bila ya kuwa na CHETI Chochote Juu ya kile anachofundisha!
Sasa Mselem, Kwanini Unanambia yote Haya?
Yeah Bora Umeuliza…
Ukweli ni kwamba…
Watu wengi kwenye Maisha wamekuwa wakiaminishwa kwamba Huwezi kufanya kitu chchote kile bila kuwa na Chet
Na ndio maana Rundo la watu kila Siku wana songamana Vyuoni kwenda kutafuta vyeti. Sio kwamba hawajui kufanya vitu ila ni kwasababu ameaminishwa ili uweze kufanya kazi flani basi Lazima uwe na Cheti.
Haiko hivyo wala Haifananii na Hivyo kitu pekee unachotakiwa kuwa nacho ni UJUZI wa Kufanya unachotaka Kukifanya ili uwasaidie watu.
Ujuzi ukiutumia kuwasaidia watu, Utakupa kitu kinaitwa RESULTS!
Au matokeo na matokeo ndio CHETI Chako (Your Results are Your Certification)
Kama umeweza Kutengeneza mwili wako kwa Kufanya Seti flani ya Mazoezi… Unadhani unahitaji Cheti kutoka Gym X ili Umsadie mtu mwingine apate Matokeo kama yako? Jibu ni HAPANA kwahiyo kwenye haya Maisha uhitaji kuwa na Cheti ili uweze kusaidia watu unahitaji kuwa na “PROVEN Way” ya Kupata matokeo ambayo Mtu mwingine akiitumia pia atapata kile ulichokipata Wewe.
As long as kile Unachompa mtu mwingine Akitumie kinafanya Kazi…Mzee wewe tayari ni “EXPERT”. Wewe Jiulize…
Watu wangapi hapa BONGO wanawasaidia watu na Kupata matokeo wanayotaka Ikiwa hawana hata Vyeti vya Kile wanachofundisha?
Wako wengi Mno…
Brother Joel Nanauka anafundisha watu Vitu vingi na hana Cheti chochote kwenye hivyo Vitu
Chris Mauki anafundisha watu kuhusu Mahusiano na hana Cheti Chochote kwenye Mahusiano
Kwahiyo mzee uhitaji kuwa na Cheti ili Usaidie watu. Otherwise uwe unataka kuwa Daktari au Mwanasheria
Ila kama kweli Unataka kuwa Mjasiriamali basi. Be REALLY GOOD at What you do and FOCUS on Getting People Results!
Mengine mwachie Mwalimu wa Mathee. Uwe na Asubuhi Njema. Gracias…
By the way. Nilitaka Kusahau kama una Maoni au Mawazo juu ya Hili Somo La Leo Basi Nafasi ya Comments iko wazi. Karibu tu Discuss.
Seif Mselem