Nenda kwa Da Sophy mtaelewana. Yeye anaona cheti hakina maana.Sina cheti...sina mke
Vipi mkuu?Aisee!!!!
Hata ukiazima gari kadi inabaki kwa mwenyewe.Naheshimu sn mtu Mwenye cheti maana siku zote yy ndio Mwenye Mali wengine wote ni waazimaji tu, bado tu siku zinahesabika utakimbiwa siku si nyingi
Sipo shooo sijui ni uzee😂
una mume? au una cheti?Sipo shooo sijui ni uzee😂
Na mtu mwenye cheti anaangaika kwa muda tu ila heshima lazima irudi ndani ata baada ya miaka mingapi atarudi alipokiri na kukukubali mbele ya hadharaNaheshimu sn mtu Mwenye cheti maana siku zote yy ndio Mwenye Mali wengine wote ni waazimaji tu, bado tu siku zinahesabika utakimbiwa siku si nyingi
Lakini si unajua ata kijana carwash anaweza akapiga route za apa na pale ndani ya range kama wameshibana na mteja wake lakini kamwe hawezi kumilikiWatu wasiokuwa na vyeti huwa hawana maana kabisa, wala mshipa wa aibu. Wanajisikia they have nothing to lose, no reputation to protect, kwahiyo wanaweza fanya lolote tu!
Mume sina cheti sina☹☹una mume? au una cheti?
Kinachoudhi ni kuwa ataacha ush.uzi wake humo ndaniLakini si unajua ata kijana carwash anaweza akapiga route za apa na pale ndani ya range kama wameshibana na mteja wake lakini kamwe hawezi kumiliki
Swali la kizushi sana hili. Jibu lake halitakuacha salama.una mume? au una cheti?
Sasa akirudi akiwa 'low battery' atafaa nini tena?Na mtu mwenye cheti anaangaika kwa muda tu ila heshima lazima irudi ndani ata baada ya miaka mingapi atarudi alipokiri na kukukubali mbele ya hadhara
Hah! Kumbe na wewe ni kamchepuko? Ebu acha haraka!Watu tusiiolewa tunajipa sana matumaini ya kuwa na sawa na mwenye cheti, lakini ukweli utabaki kuwa palepale ata kama umejilengesha mimba zako, mke wa ndoa ana heshima zake tuuu maana alichukuliwa kwa heshima zote na wazee wakatumwa kwao kuomba uhalali wa kumchukua na mwanaume akaulizwa akakiri mbele za watu kwa sauti huyu ndiye! Dah michepuko tuna shida bana ata tujitutumue hufiki thamani ileee