Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 47,160
- 188,655
Stop negativityHaya ndio matatizo ya kutembea na wanawake wa tandale, mwananyamala, buguruni, mchikichini, manzese na tandika....
Anaigeuza jf kuwa fb vile...
Stop negativityHaya ndio matatizo ya kutembea na wanawake wa tandale, mwananyamala, buguruni, mchikichini, manzese na tandika....
Anaigeuza jf kuwa fb vile...
Naona miaka 9 sasa unae tu mme wa mtuKama cheti mali kitandike kitandani kwako ukilalie. Au jaribu kujifunika nacho kikutie joto. Nachekajeeee? Halooooooooo?
Na wanangu wana haki zote kwa baba yao.
Nakukumbusha tu.
Ndoa ni ndoa tu..yeye ni mpango wa kando hata akizaa watoto mia...mwenye mme ana mume.Na hivi ndivo ilkuwa baada ya kushindwa
Ndoa ya kiserikali ina masharti gani?
Nauliza hivi, eti ndoa ya kiserikali ina sharti lolote kama muoaji ana mke mwingine hata kama huyo mke yuko kivyakevyake tu? Maana mi najua serikali haina dini.www.jamiiforums.com
Missing you so much HawachiHivi huku ni kuteta kumbe
Miss too upo mpendwa aliye kuteka mwambie namsalimia.Missing you so much Hawachi
Kazi ipo ..manzese /tandale /mwananyamala /buguruni type
Ayseee...majukumu tu ya kiutuuzima ndiyo yamenificha bn, kwani yupi anayeweza kuniteka zaidi yako tu BibiyeMiss too upo mpendwa aliye kuteka mwambie namsalimia.
Vizuri nilikuwa na wasiwasi.Ayseee...majukumu tu ya kiutuuzima ndiyo yamenificha bn, kwani yupi anayeweza kuniteka zaidi yako tu Bibiye
Hahahahah hapa naona mchepuko anamtambia mke mwenye cheti le waifu matirio.The iron batterfly nasubiria mchango wako huku maana ile thread ya yule mwanamke aliyehitaji ushauri aweze kuishi na mwanaume bahili uliitendea haki. Nasubiri na hii
Kongosho na Dena nafikiri walienda kwa muumba kitambo kidogo.Mungu awatunze.naimiss JF ya Zamani
Sina hakika ndugu yangu..weee Rubuye123 like Serious? Dena kama nilisikia lakini Kongosho hapana jamani,,,
Sina hakika ndugu yangu..
Michano ya kina Nguli,mbwembwe za Yo Yo,Balantanda,Lizzy,fisadi,Rejeao,Joka,Mkandala,Masanilo,Fidel80...zamaaaani.ambapo mada yenye “matusi” ingejadiliwa kwa staha kila mtu akafurahi.zamani ambazo kama haina uhakika na uelewa wako kwenye mada usingethibutu ku post.Imekua miaka kumi na.. sasa.Time flies man!
Bonge la summary umetuwekea.Daaah!
Ninachoshangaa hapa ni hiki: Mwanaume anakuwa wapi mkewe anapotukanwa hivi na mchepuko? Na anajisikiaje? Ameshindwa kuudhibiti huo mchepuko? Haoni kuwa hata yeye anakosewa heshima kwa kutangazwa mtandaoni hivi, mtu akisoma posts zote hizi kama ana ukaribu fulani naye atajua kabisa anayezungumziwa hapa ni fulani. Aibu.Hahahahah hapa naona mchepuko anamtambia mke mwenye cheti le waifu matirio.
Chanzo ni mwanaume (mume)anayempa kibri mchepuko hadi kufikia kumdharau mwenye cheti chake(mke wa ndoa).Na mwenye cheti badala ya kudeal na source ya tatizo,ambaye ni mumewe ameanza kuuattack mchepuko,so mchepuko unajibu mashambulizi.
Thats y mara zote nasema kibongobongo ndoa si heshima,ni kukimbia kusemwa vibaya mtaani ilhal hawakulishi,hawakulishi,hawakusomeshei watoto,so kwanini wakuumize? mwanamke ishi maisha yako usikubal jamii idefine your life kwani hawana impact kwenye maisha yako.
Inshort Mama mjengo aka le waifu alipaswa adeal na mumewe then problem solved kwani hata vitabu vya dini vinatoa solution inapotokea mwanandoa mmoja kuvunja kiapo cha ndoa ikiwemo uzinzi nini kifanyike.
Ila kukimbilia kutukanana ama kugombana na mchepuko ni kujishushia hadhi kama mke,kwani mchepuko naye ulitongozwa kama yeye na huenda unapendwa kuliko hata yeye mke.Mke adil na mumewe kwani ndiye waliyeingia naye mkataba wa ndoa na ndiye ana mahusiano naye,mchepuko hamuhusu kwa lolote.So sioni kosa la mchepuko so far,mwache ajimwayemwaye manake bwana kampa rungu hilo.
Daah! Nimekaa nikawaza huyo mwenye cheti anachambwa kwenye msg kupitia simu yake ya kiganjani kwa maneno ka hizi.
Haya bana muwe na mwisho mwema katika hizo mbio zenu.
Una uhakika unayemtaka apate huu ujumbe yumo humu?
Huyo mke wa ndoa asijitie unyonge kwa sababu ya haka kamchepuko. Kanajijua thamani yake ni ndogo ndiyo sababu kanajaribu kujiinua kwa njia hizi za maneno ya mitandaoni.Anaweza asiwe humu ila hili jiwe zito asee! !Nimejiweka kwenye position ya mke dohh maumivu balaa .
Poor mke wa ndoa....!!!!!
Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app