Umuhimu wa Kiarabu kuwa lugha Rasmi Tanzania

Hollywood style, tazama vitu live hivi:

upload_2016-10-26_16-19-41.jpeg

Hii ni Waarabu wa Rwanda walipouana
RwandaGenocide.jpg


Na hii unajuwa ni wapi? huku mwana dada akichukuwa photo kwa ukumbusho:

IMG_5154.JPG
 
Swahiba = Swahib !! rafiki = Rafiq !! Kumbe nawe mwingi wa kalamiti za kinahau ?!!?

hebu tuchanganye kidogo:-
Kiswahili = Kiarabu
Ishirini = ishirin
Mia = mia
Elfu = elf
Harusi = arus
Lafudhi = lafudh
Lahaja = lahja
Zahama= Zahma
Ishi = ishi
kufa = wafaa
kitabu = kitab
Haramu = haram
Maji = mayi
Kero = kerh
Hewa = Hewa
Deni = den
Bila kusahau mbatata - batatiis
 
Bila kusahau mbatata - batatiis
Wee ha ha ha ha .. naona una kanjaa .. akili ipo kweny mloooo!!! (yaani matunda kma Tufaha,Ananasi,zabibu nk nk)

Ok pokea hizi:-
Kiswahili Kiarabu
kabila = Qabila
Sahani = Sahan
Kula = Kul
Fedha = Fedhwa
Dhahabu = Dhahab
Alamsi = Almas
Jabali = Jabal
Bahari = Bahar
Elimu = Eilm
Kadhalika = kadhalik
Hata majina na wadhifa wa kijeshi na polisi tuna share majina kadha...
na maneno ni mengi tu tuna share !!
 
Nio hao hapo MIARABU MASHETANI YAKICHINJANA!
Hii yote ni lana ya kuwaua na kuwatesa waafrika watauana wenyewe kwa wenyewe mpaka waishe na walivyonyimwa akili hapo wanawalaumu magharibi utasikia ni marekani hao wakati wanamalizana na kuchinjana wenyewe bora ya wanyama pori.
 
Kasome historia yako vizuri, Wabantu walipokuja hapa mashariki mwa Afrika walikuta kuna wenyeji tayari, jee unawajuwa ni nani?

Inaonesha hata maana ya Uarabu hauujuwi ni nini, kwa kukupa faida tu, Uarabu ni lugha. Full stop.

Sasaa hata kama una maneno ya asilimia 10% ya Kiarabu basi na wewe una Uarabu wa asilimia hizo, upo hapo ulipo?

Hivi wewe hujasoma historia? Hujaelimishwa kuwa Wabantu huku kwetu ni wakuja tu?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
We nawe umeonesha utahira wako, kwani kiarabu hakikuletwa na waarabu according to history?
 
Suicide bombing
Wee jitoe ufahamu, baki na umbumbumbu wako !! Since day one WAARABU tumeiBARIKI nchi hii kwa LUGHA MAMA, USTAARABU (Arabian Civiliztions ), AMANI, UUNGANISHI WA MAKABILA kwa lahaja moja "Salaam Aleykum" na pia majina ya miji yote (DAR-ES-SALAAM-MTWARA-TANGA-KIGHOMA-ARUSHA-TABORA-SINGHIDA-ZANZIBAR-KILWA-MAFIA-KIL~MANJAA~ARO, MUSSOMA,KIBAHA ,BAGA~MOYO,nk nk..

Tazama artitecture design za waarabu (majengo ya kama ikulu/Ocean road Hospital, majengo nk nk) !!! Pamoja na kutaifishiwa mashamba,Viwanda,maghorofa na mhospitali.... Bado wasema uwekezaji gani.. Nguruwe wee/shwaein ngedere wa chooni !!

Long live SS Bakhressa kuweza sambaza bidhaa zake na kuajiri wazawa.... (huyo mmoja tu)

chuki na husda zimekutawala....[/QUOTE]
Mahaba yakizidi utaonekana mchawi sasa
 
Mleta uzi umebashiri jambo ambalo watu wengi hawajui, but one day Islam will dominate the world.
Yeah of course according to bibble na imani ya kikristo itakua ngumu sana kupractise maana wengi watauliwa kwa imani yao na huo ndo utakua mwisho wa dunia umekaribia....mark my words islam dominance in world will complete the bibble prophecy
 
Wee jitoe ufahamu, baki na umbumbumbu wako !! Since day one WAARABU tumeiBARIKI nchi hii kwa LUGHA MAMA, USTAARABU (Arabian Civiliztions ), AMANI, UUNGANISHI WA MAKABILA kwa lahaja moja "Salaam Aleykum" na pia majina ya miji yote (DAR-ES-SALAAM-MTWARA-TANGA-KIGHOMA-ARUSHA-TABORA-SINGHIDA-ZANZIBAR-KILWA-MAFIA-KIL~MANJAA~ARO, MUSSOMA,KIBAHA ,BAGA~MOYO,nk nk..

Tazama artitecture design za waarabu (majengo ya kama ikulu/Ocean road Hospital, majengo nk nk) !!! Pamoja na kutaifishiwa mashamba,Viwanda,maghorofa na mhospitali.... Bado wasema uwekezaji gani.. Nguruwe wee/shwaein ngedere wa chooni !!

Long live SS Bakhressa kuweza sambaza bidhaa zake na kuajiri wazawa.... (huyo mmoja tu)

chuki na husda zimekutawala....
Mahaba yakizidi utaonekana mchawi sas


Yaani hamna kitu sipendi kama haya mashetani yanavyotuona sisi weusi walitukuta hatujiwezi hata kushindwa kujitawala
Sasa huyo nyumbu anasema Kilimanjaro ni kiarabu kwelii??? Kilimanjaro limetokana na neno Kilima Kya Rua yaani Mlima Wa Mungu kwa kichagga huyo nyumbu anasema ni waarabu wametoa jina.
Arusha limetokana na neno Arusa eneo la malisho mazuri ya Mifugo kimaasai hicho huyo nyumbu anasema ni kiarabu hicho

Hivi Musoma ni kiarabu kweli?
 
Mahaba yakizidi utaonekana mchawi sas


Yaani hamna kitu sipendi kama haya mashetani yanavyotuona sisi weusi walitukuta hatujiwezi hata kushindwa kujitawala
Sasa huyo nyumbu anasema Kilimanjaro ni kiarabu kwelii??? Kilimanjaro limetokana na neno Kilima Kya Rua yaani Mlima Wa Mungu kwa kichagga huyo nyumbu anasema ni waarabu wametoa jina.
Arusha limetokana na neno Arusa eneo la malisho mazuri ya Mifugo kimaasai hicho huyo nyumbu anasema ni kiarabu hicho

Hivi Musoma ni kiarabu kweli?
Leo ndiyo umejua kuongea eeeh...
Woo woo woo.. chi chi chi ssususuu hizi tamko ushasahau eeeh?????
 
Mimi si Mwanahistoria kama wewe lakini pamoja na yote hayo, naweza kusema with confidence kwamba hapo juu umeibananga historia kwa kiwango kikubwa!
  • Mosi, kabla huja-conclude kwamba Arabs walichangia kuharibu states unatakiwa kwanza kukumbuka Arabs walikuja wakati gani! Hata kama unasema kuna historia mpya bado historia hiyo haitabadilisha ukweli kwamba, watu wa mwanzo kutoka Middle East ni Waajemi. Baada ya Waajemi kuja Pwani ya Afrika Mashariki, moja ya familia hizo wali-settle Kilwa kunako karne ya 12 ambako ni kweli walikuta kuna established society ya watu weusi. Baada ya Waajemi hawa ku-settle Kilwa, kwanza si kweli kwamba walilazimisha Uislamu! Ni katika kipindi hiki ndipo Kilwa ilipata umaarufu mkubwa sana kwenye ukanda wa Pwani ya Afrika hadi Sofala kiasi cha kuipiku Mogadishu kama central business center kwenye ukanda huu! Na ni katika kipindi hiki ndipo Sultani wa Kilwa (Mhajemi) alikuwa na control ya Pwani yote Afrika Mashariki hadi Mombasa! Mombasa, Lamu, Zanzibar, Mafia... zote hizi zilikuwa subjects za Sultan wa Kilwa!
  • Mwaka 1497 ndo kwa mara ya kwanza Vasco da Gama aliingia Kilwa (Kilwa Sultanate) wakati akielekea India. Meliya pili iliingia miaka michache baadae na mwaka 1502 Wareno wakaja kishari zaidi baada ya kuona subjects wa Kilwa Sultanate hawamwelewi! Hapa ndipo Mreno alianza kushambulia subjects wa Kilwa Sultanate ambapo alianza kwa kuitwanga Zanzibar kisha akaja kuitwanga Mombasa na Kilwa yenyewe! Ni hawa Wareno ndio WALIZIBOMOA hizi states na ndio walioharibu mji wa Kilwa na sio Waarabu! Kwavile wakati huo Wareno walikuwa wanaikalia hadi Oman; wakaona strategic location kwao ni Mombasa na hapo ukawa ndio mwisho wa Kilwa!!!
  • Mwaka 1650's Wa-Oman wakafanikiwa kuwatimua Wareno kule kwao! Miaka michache baadae wakafanikiwa kuwatimua na Mombasa pamoja na the rest of East Africa na hapo ukawa ndio mwisho wa Portugal domination in East Africa! Wa-Oman, ambao ndio Waarabu walikuja East Africa wakati Kilwa imeshajifia miongo kadhaa iliyopita! Na hakuna any African state ambayo ilihariiwa na Waarabu wakati huo kwa sababu, wakati huo sehemu ambazo zilikuwa zimeendelea zaidi ni Mombasa, Malindi na Zanzibar!

I think tunatofautiana katika usawa wa maelezo lakini tofauti ni nyakati.

Ukizungumzia kuja kwa waajemi kukaa Kilwa, Kilwa haikuwa state ya Watu wa Nje. Kilwa ilikuwa state ya Indigenous Africans waliokuwa na trades kukua kutoka Zimbabwe na Mapungubwe. Waarabu na warumi ni wageni Kilwa lakini hapo baadae Arabs kuwepo katika ushirikiano na Rulers wa Africans na mpaka wanakuja kuhamia moja kwa moja tayari wapo ambao walikwepo kutokana na Intermarriage na rullers. Hivyo tambua Kilwa ilijengwa na kuwa na power before external influence kuja hapo baadae.

Pia waajemi wamechelewa kufika. Warumi, Egyptians na Greeks walishaitambua East Africa na kulikwepo na Miji kama Raphta.

Egyptians wanaujua mlima Kilimanjaro, Herotus alishadocument Lake Victoria na Kagera kama chanzo cha Mto Nile na kuandika kuhusu Mlima Kilimanjaro. At that time before Arabs at the Coast. Pia Somalia ndio ilianza kuwa settled na wahajemi ndipo wakaja to the southern East Africa.


Kuhusu Arabs na conflicts na Portuguese ilikuwa ni kutokana na kwanza kila mmoja alikuwa anataka kutawala East African routines ambazo zina faida kubwa na pia kuhusu kueneza udini. Haikuwa kwa faida ya Indigenous bali interests zao kutokana na potentiality iliyokwepo na ilikwepo hata kabla ya kuja na ndichi kiini kuwafanya wapende East Africa.
Kuhusu states kuharibiwa, zipo. Na sio naelezea kwa nadharia ya kukupinga bali zipo research paper mbalimbali zimeelezea. Zipo mpaka takwimu za idadi East Africans waliouzwa na adhari ya Caravan Slavery katika areas ambazo ilitawala.

abd6ca36e7a1c7fbbd1a27debe870684.jpg

Sorry nilipochora sio its part of this talk, nilikwepo ninasoma na kuweka notes.
 
Tuwe proud na kiswahili chetu and native languages zetu jamani
 
Aisee hongera kwa fani yako. Kuna siku niliona Uzi humu kuhusu kusiwa cha Ladham kinadaiwa kuwa si cha Tz yaani kisiwe ndani ya jamhuri ya Muungano kwa malengo kuwa kama inavyodaiwa znz ijitenge basi wachukue na hiki kisiwa pia. Nikajaribu kujiuliza maswali mengi, mwisho nikatafuta kitab cha A HISTORY OF TANZANIA by Isaria Kimambo na AJ Temu nilivyosoma ndani kuhusu visiwa na historia zake wakanirefer kwa CHITTICK baada ya kusoma nikagundua kuwa hawa waarab wanaotetewa humu vitu vingi havijaanzishwa na wao from the beginning ila walikuja, wakaona, wakateka, wakaanzisha vyao au kuendeleza. Mf historia ya kilwa imejikita sana kwa waarab lakini kulikuwa na C.state kabla ya waarab .

NB
Waarab ni wageni Africa ni watu wenye asili ya rangi nyeusi hiyo ni asili yetu lakini sio vibaya tukaishi kwa AMANI na kila jamii kama ss tunavyoishi kwao lakini kwa asili jamii nyingi ni ngeni ktk sehemu mbambali.

OMBI KWAKO
Kwakuwa wewe ni archaeologist naomba utuandalie mada zenye kuelezea uasili na chimbuko za jamii mbalimbali ktk taifa letu naamini mikanganyo mengine haitokuwepo, asante.

Wow. Asante sana. Nimekuwa impressed sana umeweza kumfahamu Chittick.

Ndio chanzo cha Old history ya sasa na wengi kwenye huu mjadala wanafuata mawazo yake. Alikuwa archaeologist wa kwanza kufanya tafiti East Afrika juu ya Arabs. Alikuwa na mitazamo kuwa Swahili civilization ilianzishwa na Arabs lakini alibadili mitazamo yake baada ya kugundua East Africa ilikwepo Centralized kabla ya Middle East kuja. Alikuwa very racist archaeologist. Lakini hapo miaka ya 1970 watu kama Mark Hotton akampinga kwa kugundua mabaki ya magofu ya kale kabla ya kilwa yakiwa na Neolithic ya miaka ya kale sana. Prof Chami anayefahamika duniani kwa uchunguzi wa Swahili Coast na kupinga hoja za Chittick. Chittick naye pia alibadili mtazamo wake 1982.

Kulikwepo na mgogoro mkubwa sana kutokana na ubaguzi. Lakini hivi sasa haupo tena na kila mtafiti wa Coast anatambua Africans walikuwa kiini cha Centralized State ya Africa.

Nitajaribu kufuata mawazo yako.
 
Back
Top Bottom