Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Ndo kuwa Makin sababu nmeshaona chating zake na yy mda mrefu mapicha mnatumiana,,Sasa ntazianika Mana it's too much
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu weka hizo picha tulizotumiana na huyo lekcharaaaa. Jamani naomba uwekee hapaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama unajua ameoa kinachokufanya umuombe pesa ni nn Kama sio nyege hzo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee emu onesha hapa, nilipomuomba hela huyo lekcharaaaa, km ni kule selfika 1 alisema yeye anataka kunipa, na alikuja pm yeye kuomba namba, na alinitumia.

Haya weka hapa ushahidi nilipomuomba helaa tenaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Udugu nakuita cocastic
Hizi tuhuma za kweli?! Unaomba pesa wanaume za watu pm?! Ebu njoo ufanunue
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu emu niwachee, wanataka niongee afu ionekane nakosea adabu baba za watu.

Alete uthibitishoo huo.
 
Uzi huu sikuutembelea km siku 2, Leo naingia nakutana na hekaheka. [emoji23][emoji23][emoji23]
Uzi ushaanza kuleta maudambu dambu, hapa namsubiri udugu coca aje
Uduguuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ma udambu udambu ganii??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom