Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Ndo kuwa Makin sababu nmeshaona chating zake na yy mda mrefu mapicha mnatumiana,,Sasa ntazianika Mana it's too much
hebu weka hizo picha tulizotumiana na huyo lekcharaaaa. Jamani naomba uwekee hapaaa
 
Kama unajua ameoa kinachokufanya umuombe pesa ni nn Kama sio nyege hzo
wee emu onesha hapa, nilipomuomba hela huyo lekcharaaaa, km ni kule selfika 1 alisema yeye anataka kunipa, na alikuja pm yeye kuomba namba, na alinitumia.

Haya weka hapa ushahidi nilipomuomba helaa tenaa,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom