Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Tatizo Lughaaa mkuu 😊😊😊! Andika kiswahilii🤠🤠!
Uliponiona njoo saii unifotoe utupie asee!
Itajee sehemu
Nikufotoe na huyu dude mwenye kakitambi ?
Si uko Onomo hapa 10th floor?🤣 unapekua JF?

Kama ni wewe angalia binadamu karibu na hizi xmass lights niko mpweke,niko na shoulder sling na unioneshe ishara nifike kuwapa "hi"
 
Nikufotoe na huyu dude mwenye kakitambi ?
Si uko Onomo hapa 10th floor?🤣 unapekua JF?

Kama ni wewe angalia binadamu karibu na hizi xmass lights niko mpweke,niko na shoulder sling na unioneshe ishara nifike kuwapa "hi"
Wee mi nipo Nyakibimbirii hapa naweka mkaa nipike Matoke unaniambia Onomo tena😊!
 
Hata mimi niko napika makande,mlenda nichape usingizi.

Nilikuwa nakutania tu wala siko hilo eneo😅.
Nilisema nhiiiiii nikabeba ndizi yangu juu huku maneno ya Eleven stars yanaonekana vizuri ili unione😁😁😁!
 
Nilisema nhiiiiii nikabeba ndizi yangu juu huku maneno ya Eleven stars yanaonekana vizuri ili unione😁😁😁!
Ila kuna binti anatumia JF ,hakika mko warembo humu,mmebarikiwa🤣.

Kama ataona hii bhaaas enjoy hapo ulipo "O" msimu huu wa sikukuu.
 
status_me_status_IMG-20231218-WA0037.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom