Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Picha tu haina shida mama.

Hahaha Hiyo ngoma nzito hapana...naishi matombo,Hapa mjini Dar es salaam nimefika kwa lift ya trucks za mizigo tu.
Weka nasubiri hapa ๐Ÿ‘Œ
Matombo mkuyuni? Au kiroka?! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Kasema nipige mgongo tuu
93aaa1d05cfdec0934eb72b8cea6aaae.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uishi matombo halafu usipajue mkuyuni na kiroka?! Kweli? Basi muongo ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Naipenda sana hiyo sehemu yaan kwa kuisikia tu ilikuwa inanipa vibe hadi sasa na nilitamani kufika hata nione mazingira yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom