Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Aaah wap sio kweli vnaishia story tu wengine wanafika mbali na mahusiano yanaanzia apo naongea from experience
I think hijanipata
Nasema km una mwenza ambae hayuko Kwa hii forum,halafu aingie atashangaa sisi wenyeji tunajua ni utani ma story ila sio Kwa mgeni!

Btw,najua Kuna faida yake pia tushakutana na watu wa hapa na wako positive
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom