Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,384
- 11,268
Hiyo mm niliikuta Kibasila Hostel Lakini zaidi ni ile ya JKT Makutupora ni Mustin la bati na Sembe lisilokobiolewa huo ugali kwa sahani la plastic mbona mzuri? Ulizia mabinti wa JKT Operation ................. walivyokuwa wakitupiga vikumbo maana hawapangi foleni ya Wanawake wanawaita Mabint wao wanapambana na wanaume tu tena kuRUDIA KULA (BUST)