Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,204
Naamini tutakapopata uelewa halisi wa democrasia na soko huria na kujenga mazingira sahihi kwa haya kukua basi tutakuwa tumepata jibu. Swali lina baki ni vipi?
Mimi naweza jibu simply time will tell. Je hili litatosha kuwa jibu?Kwangu mimi naona ndilo jibu linaloweza kuwa sahihi.Sababu ya kupendelea jibu hili ni hii:
Democrasia inavyopanuka ndivyo opportunities zinavyozidi kuwa sawa kwa wote.Na free market inakuwa vizuri ktk democrasia.Free economy inamfanya kila anyejituma na kuwa na uwezo kufanikiwa.
Kufanikisha hili tunahitaji kuweka mazingiza safi na huru kwa ukuaji wa democrasia na soko huria.Nikimaanisha usawa na free enviroment.Hapa bado serikali haijaweza kuaichia huo uhuru ingawaje si kwa ni mbaya kwani watanzania bado hawapo tayari kuhimili hilo.
Mojawapo ya vitu vinavyoleta maana ktk democrasia na soko huria ni pamoja na elimu sahihi.Sasa hapa elimu sahihi ya washikadau ktk mazingira ya Kitanzania ni balaa jingine.Na hili si tu kwa tabaka la wasiofika shule,bali tabaka zima la wasomi wa Kitanzania.Wasomi wetu wetu wa kitanzania wana perspective tofauti kuhusu utandawazi democrasia, maendeleo ya sayansi na teknologia pamoja na mahusiano yetu na mataifa yaliyoendelea kwa ujumla.Sasa kupotoka kunaanzia ktk tabaka la wasomi na wanachuoni na kuendelea kupotoka kunajizidisha hadi kwa raia.
Raia wamekuwa wakijengewa hofu na mtazamo potofu kuhusu democrasia kabla hata mfumo wa vyama vingi kuingia na baadaye hali hiyohiyo ikajikuta ikiingia ktk utandawazi.Leo hii wasomi wetu hawajaonesha nia madhubuti na na kuandaa mipango ambayo si tuu itatuwezesha kulitua soko la marekani kupitia AGOA bali kufanya hata kaujanja tuweze litumia vizuri zaidi ya wenzetu.Soko la Marekani ni soko Tamu na lenye utajiri mkubwa kiasi cha kufanya kila taifa Duniani kupigana kikumbo kulifuata.
Usalama wa raia na mali ndio kitu cha kwanza kuangaliwa,kutoka usalam wa raia na mali zao,bima ndio inatakiwa ifuatie ili kutoa uslama kwa makampuni, baada ya bima mabenki yatakuwa huu kuchukua risk ktk kulegeza masharti, unafuu wa masharti nio utaleta uhuru wa kiuchumi kwa mtanzania ktk kuanzisha chanzo cha mapato.Ushindani ktk soko huria utamlazimisha kila mtu kutafuta usahihi kwa kila muda unaojishuhulisha ktk biashara. Kupanga kodi kwa usahihi kutaleta mvuto ktk biashara halali zaidi na hivyo kuachia uchumi kwa wote.
Kufikia maendeleo kunahitaji ufanisi ktk kila sector na pengine kuanguka kwa wale wasio imara.Hapa namaanisha kuweza kuwa mshindani na kama huwezi ushindani basi uweze jibadili na kuanzisha njia nyingine ila legho ni kujikomboa.Sasa hali hii haijaweza hata fanywa na wasomi wenye kila kitu elimu na njia za kupata mitaji ila wanakosa kitu kimoja ubunifu.Tunavyozidi kubuni vitu ndio tunavyofungua mzunguko wa hela na mifumo ya kiuchumi.
Kutokana na mapungufu haya na mengine ni wazi kuwa tutajifunza kupitia makosa, kutakuwepo na wale watakaoenguliwa na kujiengua hadi pale watakapopatikana waelewa na pale mazingira yatakapokuja kuwa mazuri na huru.Hapa hapatakuwepo watu dhaifu kiakili kwa wakiwepo basi watakuwa wakitumika na kama hawatabadilika basi watajikuta wakibaki wakitumika.
Kwa hiyo kwa jamii yetu nadhani muda ndio utasema na kutupa jibu. Tutashuhudia wengine wakifanikiwa tutashudia tukishindwa na hapo ndipo tutakuwa tumejenga jamii yetu kitaaluma na zaidi tutakuwa na uelewa sahihi wa mazingira. Huku kuelewa mazingira ndipo kutakapotusaidia tafuta njia ya kuyatawala au kuishi ndani yake.
Hapa elimu sahihi ndio itaongoza majadiliano sahihi na hivyo kutupa majibu sahihi na utendaji sahihi popote na muda wote.
Ahsante.
Mimi naweza jibu simply time will tell. Je hili litatosha kuwa jibu?Kwangu mimi naona ndilo jibu linaloweza kuwa sahihi.Sababu ya kupendelea jibu hili ni hii:
Democrasia inavyopanuka ndivyo opportunities zinavyozidi kuwa sawa kwa wote.Na free market inakuwa vizuri ktk democrasia.Free economy inamfanya kila anyejituma na kuwa na uwezo kufanikiwa.
Kufanikisha hili tunahitaji kuweka mazingiza safi na huru kwa ukuaji wa democrasia na soko huria.Nikimaanisha usawa na free enviroment.Hapa bado serikali haijaweza kuaichia huo uhuru ingawaje si kwa ni mbaya kwani watanzania bado hawapo tayari kuhimili hilo.
Mojawapo ya vitu vinavyoleta maana ktk democrasia na soko huria ni pamoja na elimu sahihi.Sasa hapa elimu sahihi ya washikadau ktk mazingira ya Kitanzania ni balaa jingine.Na hili si tu kwa tabaka la wasiofika shule,bali tabaka zima la wasomi wa Kitanzania.Wasomi wetu wetu wa kitanzania wana perspective tofauti kuhusu utandawazi democrasia, maendeleo ya sayansi na teknologia pamoja na mahusiano yetu na mataifa yaliyoendelea kwa ujumla.Sasa kupotoka kunaanzia ktk tabaka la wasomi na wanachuoni na kuendelea kupotoka kunajizidisha hadi kwa raia.
Raia wamekuwa wakijengewa hofu na mtazamo potofu kuhusu democrasia kabla hata mfumo wa vyama vingi kuingia na baadaye hali hiyohiyo ikajikuta ikiingia ktk utandawazi.Leo hii wasomi wetu hawajaonesha nia madhubuti na na kuandaa mipango ambayo si tuu itatuwezesha kulitua soko la marekani kupitia AGOA bali kufanya hata kaujanja tuweze litumia vizuri zaidi ya wenzetu.Soko la Marekani ni soko Tamu na lenye utajiri mkubwa kiasi cha kufanya kila taifa Duniani kupigana kikumbo kulifuata.
Usalama wa raia na mali ndio kitu cha kwanza kuangaliwa,kutoka usalam wa raia na mali zao,bima ndio inatakiwa ifuatie ili kutoa uslama kwa makampuni, baada ya bima mabenki yatakuwa huu kuchukua risk ktk kulegeza masharti, unafuu wa masharti nio utaleta uhuru wa kiuchumi kwa mtanzania ktk kuanzisha chanzo cha mapato.Ushindani ktk soko huria utamlazimisha kila mtu kutafuta usahihi kwa kila muda unaojishuhulisha ktk biashara. Kupanga kodi kwa usahihi kutaleta mvuto ktk biashara halali zaidi na hivyo kuachia uchumi kwa wote.
Kufikia maendeleo kunahitaji ufanisi ktk kila sector na pengine kuanguka kwa wale wasio imara.Hapa namaanisha kuweza kuwa mshindani na kama huwezi ushindani basi uweze jibadili na kuanzisha njia nyingine ila legho ni kujikomboa.Sasa hali hii haijaweza hata fanywa na wasomi wenye kila kitu elimu na njia za kupata mitaji ila wanakosa kitu kimoja ubunifu.Tunavyozidi kubuni vitu ndio tunavyofungua mzunguko wa hela na mifumo ya kiuchumi.
Kutokana na mapungufu haya na mengine ni wazi kuwa tutajifunza kupitia makosa, kutakuwepo na wale watakaoenguliwa na kujiengua hadi pale watakapopatikana waelewa na pale mazingira yatakapokuja kuwa mazuri na huru.Hapa hapatakuwepo watu dhaifu kiakili kwa wakiwepo basi watakuwa wakitumika na kama hawatabadilika basi watajikuta wakibaki wakitumika.
Kwa hiyo kwa jamii yetu nadhani muda ndio utasema na kutupa jibu. Tutashuhudia wengine wakifanikiwa tutashudia tukishindwa na hapo ndipo tutakuwa tumejenga jamii yetu kitaaluma na zaidi tutakuwa na uelewa sahihi wa mazingira. Huku kuelewa mazingira ndipo kutakapotusaidia tafuta njia ya kuyatawala au kuishi ndani yake.
Hapa elimu sahihi ndio itaongoza majadiliano sahihi na hivyo kutupa majibu sahihi na utendaji sahihi popote na muda wote.
Ahsante.