Bila shaka ulikuwa pale kuanzia mwaka 1996. Bila shaka ulipata historia ya Dudu?tosamaganga Enzi za mkangwa![]()
Da mwana umenikumbusha mbali sana, tanga scl enzi hizo kuna jamaa 2lwakuta wakiwa f4 akna chadog walikuwa wababe balaa ck moja ilipikwa nyama kuna jamaa yetu alikuw anaitwa masesa lufunga alikimbia na bakuli la nyama huku akikoswakoswa mawe akaenda kuficha kwa mwl sheikh said da hadi raha, nimewakumbuka sana akna emmanuel damas, mayala mwendesha, mbura chiragwile, john holela, arab, mbwana mohamed,shukuru na wengine wote, mambo ya kimuki yalikuwa noma!
Duuu kitambo mbaya miaka ilee mwenge sec singida mjini.