Umenipendea nini?

Umenipendea nini?

Lakini jaman sometimes maswali yanasaidia kumsoma mtu vizuri kama kichwa chake kinafanya kaz au kimelala...ukiona mtu anajibu "sijui ,sijui , kwanini umeuliza? bwana mi sitaki maswali," weka mashaka.....

wengine tunapenda kuchallenge mtu, lakini si kwa kuuliza maswali ya utoto kama hayo umevaa chup rang gani..

mwingine eti anauliza umelalaje? mimi kwa kweli naona ujinga
 
eti "baby umeridhika?"
hilo ni swali kwa mwanaume asiyejiamini, alieridhika unamuona tu sio lazma umuulize

hilo swali ni zuri... km vipi unajisevia tena jioni.. 3x3 sio mbaya kwa siku..
 
Kuna kipindi nlikua nasoma chuo, nlikua na gf alikua anasoma pia chuo but mkoa wa jirani, alikua kila weekend ya mwisho wa mwez anakuja kwangu, siku moja alikua anataka kuja nkamkataza nkamwambia nina Test j/pili..hakuamini akaamua kuja kwa lazima bila kunambia na alikuja usiku,..sitoisahau hiyo siku kwenye maisha yangu, yaan alinikuta kweli nasoma nlikua nakaa na jamaa nae hakuwepo (Hostel). ilikua balaa, mpaka nkajuta kuwa naye...

ikawaje dikembe baada ya hapo
 
Last edited by a moderator:
Upele umepata mkunaji lol!
Yaani hili ndio jibu, gemu imekolea hlf unastop kisa kuuliza umeshakojoa?


hahahaha..lol, umenichekesha sana ram, yaani katikati ya gem, anastop kabisa na kuuliza, " baby vipi, umeshakojoa?" hapo wee unataka azidi kusugua...duuuh!!
 
Last edited by a moderator:
Kwa nini uliachana na mpenzi wako kabla yangu?

Swali la
Kikuda hili
aha ahahahahaha, hapo huwa naongopa sana nakuwa na jibu moja tu consistent kwa mademu wote, kuwa alinishinda tabia zake mbaya
 
Hapo uko sahih sana, mimi binafsi ni mviv sana wa kuchat..mdada akiwa ananiweka bize huwa sifurahii na huwa namwambia na kumpa muda wa mimi kuwa niko huru, wakat mwingine uko na mkutano, anatuma sms, usipojibu anaanza kupiga simu...yaan inaudhi sana,,...kwenye text hakuna cha maana zaidi ya hayo maswali.


kaka achana na vitoto,

nenda kwa wakubwa wenzio,

huo usumbufu utausahau tu.............
 
Back
Top Bottom