Umenipendea nini?

Umenipendea nini?

Duh, babu kweli unao wengi, yaani ulishasahau hata ukaguzi ulionifanya lol!

Ukaguzi nlokufanyia hauna uhusiano na maswali wakati wa tendo la uumbaji.
 
Toka umeanza kufanya mapenzi mimi ni mwanamke wako wa ngapi!

anaweza kukuuliza labda anaona una dalili za kupenda kubadilibadili wanawake.MF km anajua ulikuwa na mwingine ukaachana nae halafu ukawa nae.lkn ukabadili caller tune yako ikawa ni ya kujutia kuachana na mpenzi.KWA mwanamke MWENYE akili hawezi kuvumilia so atajiuliza KWA Tania hiyo umeshakuwaga na wangapi?
 
Bby mbona uko bizy? bby mbona haujibu sms zangu? bby mbona haupokei simu, uko na nan?
hapa huwa nachukia sana.......afu unakuta missed call 78, sms 10......dah. Najiuliza nimekosea kutokujua medical history yake kwanza.

Hahahaha Kumbe !!!!
 
nakupenda sababu utani-failia makaratasi ili maisha yangu yanyooke na niwe raia pacha
 
Back
Top Bottom