Umenipendea nini?

Umenipendea nini?

that nice mamy hata mimi huwa sipendi kabisa hasanikiwa akili inamawazo
Lakini jaman sometimes maswali yanasaidia kumsoma mtu vizuri kama kichwa chake kinafanya kaz au kimelala...ukiona mtu anajibu "sijui ,sijui , kwanini umeuliza? bwana mi sitaki maswali," weka mashaka.....

wengine tunapenda kuchallenge mtu, lakini si kwa kuuliza maswali ya utoto kama hayo umevaa chup rang gani..
 
ni wanaume wangap walishakufikisha kileleni tangu uanze uhusiano?
 
Sweetheart umewahi kufanya mapenzi kinyume na maumbile??? khaaaaa!!!
 
Mambo ya kwenye movie ya Think Like a Man! Mapenzi hayana user guide au instruction manual.
 
Niliwahi kuwa na mpenzi wangu mmoja miaka hiyo ya ujana, lol!
Hakika alikwa ananiudhi na swali lake umekojoa! kila mkikutana kwenye gemu lazima tukiwa kaktikati mambo ndo yamenoga, ana stop, umeshakojoa! agrrrriiiiii! hakuna swali silipendi kama hili
hahahaha..lol, umenichekesha sana ram, yaani katikati ya gem, anastop kabisa na kuuliza, " baby vipi, umeshakojoa?" hapo wee unataka azidi kusugua...duuuh!!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: ram
Utasikia, jumapili kuna send off ya rafiki yangu utanipa hela ya saloon? sh ngapi? elfu sitini na tano pamoja na nauli. Nyambafu babako aliwahi kukupa hiyo hela kwenda kusuka?
 
Back
Top Bottom