Hivi huu ni wivu au matatizo ya akili mkuu..
Yah, most wako na age bellow 25...wewe ushapiga simu mara moja, inatosha ntakuta missed call ntakupigia, ukipiga mara nyingi unansumbua na kusababisha niwe na mashaka na afya yako ya akili..hiyo ni sign ya insecurity..and maybe she is still a litle gal....hahahahhaa
hiyo ni sign ya insecurity..and maybe she is still a litle gal....hahahahhaa
Ok, hapo nimekupata mkuu, lakini kwanini usiache missed call moja au mbili..nikikuta ntakupigia?mapenzi hasa ya mwanzo mwanzo, au mkishazoeana wanaume wengi huwa mnabadilika wakati mwanzoni ilikuwa simu mara 3 kwa siku na msg la malavi davi kibao hasa usiku lakini mkishatunasa tukanasika simu inaweza pigwa mara moja kwa siku au isipigwe kabisa au ukaambulia msg tu tena usiku ya kuagwa na inakuwa imeandika gud9t bila nyongeza, sasa hapo ndo huwa tunadata tunaanza huo mlolongo uliouandika hapo
Hapo uko sahih sana, mimi binafsi ni mviv sana wa kuchat..mdada akiwa ananiweka bize huwa sifurahii na huwa namwambia na kumpa muda wa mimi kuwa niko huru, wakat mwingine uko na mkutano, anatuma sms, usipojibu anaanza kupiga simu...yaan inaudhi sana,,...kwenye text hakuna cha maana zaidi ya hayo maswali.Wala sio utoto ndugu yangu ni tabia ya mtu, mimi nina rafiki yangu yuko hivyo mpaka nilishamwambia wewe ndo mana huwezi kudumu na mtu sababu wanaume hawapendi kutafutwa kiasi hicho yani hampi mwanaume muda wa kummisi ni kuuuutwa simu na msg nikimsema atajitahidi kuacha siku 1 au 2 anarudia tena
Yah, most wako na age bellow 25...wewe ushapiga simu mara moja, inatosha ntakuta missed call ntakupigia, ukipiga mara nyingi unansumbua na kusababisha niwe na mashaka na afya yako ya akili..
Ok, hapo nimekupata mkuu, lakini kwanini usiache missed call moja au mbili..nikikuta ntakupigia?
kipindi cha nyuma nlikua na Gf, yeye alikua anapiga hata mara mia moja...nkamuuliza siku moja ni kwanini anafanya hivyo, akajibu ananisumbua incase niko na mdada mwingine nisiinjoy vizur..hahahaha..
Fursa hizi...napenda mtu anipe nafasi kuna wakati napenda kuwa alone, ili nitatue na kutafakari mambo ya kazi. Kwa nyinyi mtu akikuomba umuache kidogo kuna mambo yanamtinga, wewe unakazana na kutaka kujua, au kuhis labda nafanya mchepuko....ndio hivyo uachane na lilte gal kuwa na watu wenye akili zetu km mimi hhhahahahahahah
Wala sio utoto ndugu yangu ni tabia ya mtu, mimi nina rafiki yangu yuko hivyo mpaka nilishamwambia wewe ndo mana huwezi kudumu na mtu sababu wanaume hawapendi kutafutwa kiasi hicho yani hampi mwanaume muda wa kummisi ni kuuuutwa simu na msg nikimsema atajitahidi kuacha siku 1 au 2 anarudia tena
Kwa nini uliachana na mpenzi wako kabla yangu?
Swali la
Kikuda hili
Fursa hizi...napenda mtu anipe nafasi kuna wakati napenda kuwa alone, ili nitatue na kutafakari mambo ya kazi. Kwa nyinyi mtu akikuomba umuache kidogo kuna mambo yanamtinga, wewe unakazana na kutaka kujua, au kuhis labda nafanya mchepuko....
Kuna kipindi nlikua nasoma chuo, nlikua na gf alikua anasoma pia chuo but mkoa wa jirani, alikua kila weekend ya mwisho wa mwez anakuja kwangu, siku moja alikua anataka kuja nkamkataza nkamwambia nina Test j/pili..hakuamini akaamua kuja kwa lazima bila kunambia na alikuja usiku,..sitoisahau hiyo siku kwenye maisha yangu, yaan alinikuta kweli nasoma nlikua nakaa na jamaa nae hakuwepo (Hostel). ilikua balaa, mpaka nkajuta kuwa naye...Wengine ni tabia tu, wengine wivu na wengine huhisi kuchanganyikiwa akiona mabadiliko ya kutotafutwa kama mwanzo
hapo inategemea km mwanzoni ulikuwa unanipa muda wako sana ukibadilika na kujifanya uko busy muda mwingi lazma nitamaind bt km toka tunaanza uhusiano ulikuwa unaniambia na kunipa muda kdogo nitelewa ndivyo ulivyo
Hahahah..wewe unajibu ninini? unadanganya au unasema kweli? Au hujibu kitu.Uliachwa na wangapi?
Bby mbona uko bizy? bby mbona haujibu sms zangu? bby mbona haupokei simu, uko na nan?
hapa huwa nachukia sana.......afu unakuta missed call 78, sms 10......dah. Najiuliza nimekosea kutokujua medical history yake kwanza.