chopeko
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 1,527
- 1,112
weeeee unahis kuchanganyikiwa...
hicho huwa ni kiwewe asee
weeeee unahis kuchanganyikiwa...
Hahahahahahahaaa
Siku zote mi nlikuwa najua wewe ni bikira. lahaula lakwata.
Kwani yeye huwa anakuuliza nini? na unamjibu nini
Kuna signature ya Heaven on Earth ilikuwa na ujumbe mzuri sana kuhusu hilo swali.
Kwamba haijalishi mtu ameshakuwa na watu wangapi au wa aina gani, kilichopo kama nakupenda kwa sasa yatosha, hayo mengine sio kitu.
Japo kwa wanaume wengi jambo la history linawasumbua sana, japo hata wao sio kwamba wana record safi ila wanafikiri kwa mwanamke ni mbaya kuliko kwa mwanaume. Kama unataka record safi hakikisha na yako ni safi. Japo haimaanishi kwamba ndio mtakua na mikwaruzo michache au mambo yatakua tambarare.
Haya mkuu, hongera sana..yeye hana maswali ila sasa nashindwa kuelewa kwa nini hana maswali? ila napenda sana.......... mkuuu mbona unataka nimwage mchele kwenye kuku wengi loh sisemi tena siri yangu mengine okey
Haya mkuu, hongera sana..
Kwani wapenzi wote is a rule of thumb lazima wagegedane?
ahhh ampe vyote?asante na wewe uwe mzuri kwa mpenzi wako usimbanie sawa mkuuu jiachie mpe vyote ha ha ha ha haha:shocked:
hahahhahaha daaaah kweli mapenzi yanawatu..ulikuwa unamjibu nini?hahhahaNiliwahi kuwa na mpenzi wangu mmoja miaka hiyo ya ujana, lol!
Hakika alikwa ananiudhi na swali lake umekojoa! kila mkikutana kwenye gemu lazima tukiwa kaktikati mambo ndo yamenoga, ana stop, umeshakojoa! agrrrriiiiii! hakuna swali silipendi kama hili
ahhh ampe vyote?
unanipenda kwa kiasi gani?
Hao watu uliokuwa unakutana nao kiboko doooo!!Nami huwa nauliza uliza dikembe
Japo mie sipendi kuulizwa kwakweli, eti swali kwanini umeachana na mwanaume uliyekuwa nae.. lol! Nikishakuambia iweje au mimi ni mwanaume wako wa ngapi, hivi ukitokea ukapata mimba utaitoa? maswali gani sasa haya
Hahhahahhaha eeeeeeh uwiiiiii mambo ya whatsap....ndo mana ni natumia tochi sitaki kabisa kashda hizo...Maswali mengi yanachosha sana...haya ya siku hizi baada ya kukua kwa technology utaskia, ntumie picha yako basi(whats app)...hahaha..najua nawagusa wengi
Je mwezi huu umeingiza shilingi ngapi.
nakuamini kwa asilimia unazijiamini.....au!?unaniamini kasilimia ngapi? hili swali naulizaga kutega akijibu kajichanganya...
Baby mbona kibamia chako kimepinda halafu kina makovu. Kwani uliumizwa na nini.Najua mu wazima, Umenipendea nini? Ni moja ya maswali ambayo sipendi kuulizwa na mpenzi wangu, Je wewe hupendi swali lipi na unapenda lipi?
nakuamini kwa asilimia unazijiamini.....au!?
unaniamini kasilimia ngapi? hili swali naulizaga kutega akijibu kajichanganya...