Umenipendea nini?

Umenipendea nini?

Kuna maswali yanaboa utatamani ukichafue sema huwa siend gym maana ndan kusinge kalika
 
mshahara wako sh. ngapi? una umri gan? kwanini uliachana na ex wako? wanaume hawapendi maswali haya
 
Unaishi na wazazi wako au peke yako? Hiyo nyumba umepanga au yako? Una gari ngapi? Kwenu mmezaliwa wangapi? Wangapi wako majuu? Unapenda mwanamke wako aweje? Huyo wa mwanzo alikuwaje? Nikikupenda utanipendaje?

Mmmmh,hiyo nayo kujua mmezaliwa wangapi kwenu ni ishuu??duh!!kazi ipo
 
Back
Top Bottom