ghilipolla
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 280
- 53
Saffi sana kwa dizain hii namkubali sana Mugabe iwe amesema kweli tu, kingozi wa Taifa lolote ni kujiamini siyo kuburuzwa kwa sababu ya umasikini.,
Nampongeza sana kwa hili, ila namchukia kwa kuifanya Zimbabwe kama kipande chake cha shamba miaka 90 bado hana mpango wa kungoka madarakani
Nampongeza sana kwa hili, ila namchukia kwa kuifanya Zimbabwe kama kipande chake cha shamba miaka 90 bado hana mpango wa kungoka madarakani