Ukifuatilia posts zangu, mimi nina consider haya mambo kuwa private, sitaki promotion ya gay parade wala sitaki kuona watu straight waki kiss in public.
Because there are so many issues, including influencing minors.
Kwa hiyo suala la promotion of gay lifestyle in the public sphere mimi sikubaliani nalo.
Kama nisivyokubaliana na promotion of the straight lifestyle in the public sphere (kissing and all excessively sexual public display of affection)
Ninachokataa mimi ni habari hizi za kupitisha sheria au kuendeleza sheria zinazosema kwamba homosexuality is illegal, kiasi kwamba hata watu wazima wawili wa jinsia moja wakiamua kufanyana kivyao, serikali iweze kuwashitaki kwa kuvunja sheria.
Hilo ndilo sikubaliani nalo.
I have never endorsed public display of affection of any kind.
Kama mtu anataka kutetea mila za kiafrika, kitu cha kupinga ni public display of affection, which includes public kissing by straight couples.
na hata atakayesema habari za uhuru, public display of affection inaingilia uhuru wa wengine.
Sijasikia watu wakipinga public display of affection hizi kwa straight people, ingawa si utamaduni wetu wa kiafrika pia as far as I know.
Kiranga..
Nafikiri unachopinga wewe ndicho wanachopinga Viongozi wa Kiafrika na Waafrika kwa Ujumla..
Ushoga upo sana Afrika hata kama tunapinga kwa nguvu gani..Mbona kuna bar/night clubs zinajulikana kabisa kuwa zina mashoga wanajiuza waziwazi na hatuoni wakikamatwa??
Kinachopingwa ni Viongozi wa mataifa makubwa kutaka mashoga legally watambuliwe na kupata haki zao za msingi(Sijui ni zipi??),hapa lazima tutarudi kule unapokataa wewe ''Straight public display of affection'' tukiwatambua tayari tutakuwa tumewapa Uhuru wa kufanya Ushoga wao waziwazi...
Kama kuna mashoga wanafanya mambo yao private/vyumbani mwao hatuna shida nao..Waendelee tu ila Wasitulazimishe Tuwatambue..na wakifanya mambo yao hadharani watakuwa wamevunja sheria..
Tukiwatambua mashoga kihalali wataanza kudai Wapate nafasi fulani fulani kutokana na Ushoga wao...hili halitakaa likubalike kwa jamii Za Kiafrika..