Nini kimepigwa marufuku na kwenye jimbo gani?
Hahaaa mbona unafura hivyo? Hoja zimebana nini?
DADT haikupiga marufuku ushoga. Kinyume chake, iliondoa (kinadharia) ubaguzi wa uliokuwepo tokea vita vikuu vya pili vya dunia ambapo ushoga ulikuwa umepigwa marufuku katika jeshi la Marekani.
Usiulize, usiseme. Kwamba, hata kama unamhisi mtu kuwa ni shoga basi jali ya kwako, achana na ya kwake. Na mtu kama yeye ni shoga, basi ajali yake bila kujitaja taja kuwa yeye ni shoga.
Sheria iliyosainiwa na Rais Clinton mwaka 1993 kuuondoa ubaguzi ulikuwepo. Kwa hiyo acha hizo zako za kuitaja DADT kana kwamba ilikuwa inapiga marufuku ushoga wakati kinyume chake ndo ukweli wenyewe.
Jielimishe zaidi:
Don't Ask, Don't Tell (DADT), byname for the former official U.S. policy (1993–2011) regarding the service of
homosexuals in the military. The term was coined after Pres.
Bill Clinton in 1993 signed a law (consisting of statute, regulations, and policy memoranda) directing that military personnel "don't ask, don't tell, don't pursue, and don't harass." When it went into effect on October 1, 1993, the policy theoretically lifted a ban on homosexual service that had been instituted during
World War II, though in effect it continued a statutory ban.
In December 2010 both the House of Representatives and the Senate voted to repeal the policy, and Pres. Barack Obama signed the legislation on December 22. The policy officially ended on September 20, 2011.
Taarifa zaidi, bofya
hapa.