Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 87,485
- 151,683
Sawa ulikuwepo toka enzi na enzi, kwa nini leo ndio uwe issue ya kutulaza macho?....
Kwa sababu Mugabe na wenzake hawana kizuri cha kusema kwenye uchumi na ku address mambo uliyoyataja kwamba muhimu. Hii ni trick ya magirini ya kisiasa.
Nature abhorrs a vacuum, hawa "viongozi" wanajua hilo. Na kwa sababu hawajafanya la maana, wanataka ku create some false accomplishments.
Tukirudi kwenye vijiji vya nyumbani, hawa mashoga wapo ila hawaonekani? Kwa nini rate kubwa imejaa mijini kama sio issue za kuiga tu? (majority)...Kama ni za kuiga, basi na tuzipige vita kwa nguvu zote......
Vijiji gani unaviongelea? Umetembelea vijiji vyote? Utajuaje fulani ni shoga na fulani si shoga wakati jambo lenyewe ni a private matter?
Kikwete ameshikwa kigugumizi kwa 'kuogopa' kuudhi wakubwa..huu ni mtazamo wangu...Kama tukiamua kusema NO basi itakuwa NO kweli....Ni mara ngapi tumeshuhudia watu wakipandwa na mahasira kisa imani yake imesemwa vibaya, then kwa nini tusiseme NO kwenye issue hii...Kwa hiyo hata wakituletea mambo yao kwenye vitu tunavyotaka, tunaweza kusema hapana....
Unasema "tu" "tu" "tu" hao "tu" ni kina nani?
African/ Tanzanian society is not homogeneous.