Umemsikia MUGABE alichomwambia OBAMA.?

Umemsikia MUGABE alichomwambia OBAMA.?

Mimi msimamo wangu ni kwamba, mambo ya Ngoswe, muachie Ngoswe mwenyewe. Almuradi mtu mzima kaamua kuishi hivyo na hajaingia katika reli zangu, sina sababu ya kujishughulisha na habari za nani analala na nani, wanalala vipi.

Hizi ndizo zile habari za uswahilini za kwenda kuchungulia majaa ya watu nani kala mayai na nani kala dagaa.

Ama kama habari za ku advertise mambo haya, mimi napinga ku advertise mambo ya faragha yote, kwa wote. Kwa hiyo sifagilii "public display of affection" kama kissing kwa mashoga na wasio mashoga. Kwangu zote ni vitu vya private tu.

Kufuatuilia sana mashoga ni unafiki na kukosa kazi.

Kwani kuna mifataki kibao inasambaza UKIMWI kwa makusudi, kwa nini msiifuatilie hiyo nayo?

Kuna mibazazi kibao imezaa watoto bila kuwatunza, kwa nini msiwafuatilie hao nao?

Huyo Mugabe mwenyewe kazaa mtoto na sekretari wake (Grace) nje ya ndoa yake na Sally, na yeye Mkristo, anapata wapi moral authority ya kusema mashoga wakati yeye na wao wote watenda dhambi tu?

Mugabe Tells Of Old Secret Affair With Grace



Mugabe Tells Of Old Secret Affair With GraceÂ-|Â-ZimEye
Kiranga mbona umebadilika mi nilidhani mwanzo unapinga watu kumshangilia Mugabe kwa hili kwa kuwa ni "kingonzi mbovu" (kulingana na maelezo yako) lakini naona hapa umeamua kuja kivingine. Suala la kukataa mashoga ni sawa au sio sawa hiyo ni hoja tofauti. Kwenye huu uzi walioshangilia kauli ya Mugabe ni wazi wanapinga ushoga. Sasa kama wewe unaona sio sawa hukatazwi, ila kumbuka kuna wengine nao wanaona ni sawa tu na wanaweza kushangilia ikitokea kama hivi kama ambavyo mashoga huwa wanashangilia zinapopitishwa sheria za kuwatambua huko Marekani.
 
Hapo kwenye green cjui kama ukiambiwa thibitisha utaweza, otherwise ni udaku tu na hata kama ni kweli hilo halimzuii mtu kufanya mema eti kwakuwa tu aliwahi kufanya baya hapo nyuma.

Hapo kwenye blue ni vitu viwili tofauti kabisa na kwenye red. Dont get me wrong BUT I doubt your mind kama inashindwa kuona hilo.

Kama unataka uthibitisho kiranga kashatuma posti. Tafadhari soma #301 . Sio nia yangu kushabikia ushoga. Lakini vilevile sioni sababu kujenga hoja kwa kutumia unafiki. Kama mnataka kujenga hoja kwa kutumia moral values basi mje mkiwa kamili katika moral values.

Kuhusiana na kufanya mapenzi nje ya ndoa na kufanya mapenzi ya kijinsia moja ni kitu kilekile. Uoni tofauti kwa sababu umelelewa katika jamii ambayo imeruhusu kitendo hicho.


Kitendo cha Mugabe kuzini na mke watu hukumu yake ilikuwa kupigwa mawe mpaka afe. Na kifo chake kisingempa muda wa kutawala muda mrefu na kufanya mambo unayoita mema ya kukemea ushoga.
 
Kiranga mbona umebadilika mi nilidhani mwanzo unapinga watu kumshangilia Mugabe kwa hili kwa kuwa ni "kingonzi mbovu" (kulingana na maelezo yako) lakini naona hapa umeamua kuja kivingine. Suala la kukataa mashoga ni sawa au sio sawa hiyo ni hoja tofauti. Kwenye huu uzi walioshangilia kauli ya Mugabe ni wazi wanapinga ushoga. Sasa kama wewe unaona sio sawa hukatazwi, ila kumbuka kuna wengine nao wanaona ni sawa tu na wanaweza kushangilia ikitokea kama hivi kama ambavyo mashoga huwa wanashangilia zinapopitishwa sheria za kuwatambua huko Marekani.

Sijabadilika, labda sema uwezo wako wa kunielewa ni mdogo tu.

Mugabe ni kiongozi mbovu ambaye kama mfamaji, atatumia chochote ili abaki anaelea.

Uongozi wake mbovu unajumuisha udikteta wake, mauaji ya Wazimbabwe zaidi ya 20,000, kuufanya uchumi wa Zimbabwe uwe na superhyperinflation na double standards za kutaka kuwaandama gays wakati yeye mwenyewe alitoka nje ya ndoa yake.

Mugabe anapingika kwa sababu nyingi.

Alexis de Tocqueville aliongelea kirefu kuhusu the dangers of the tyranny of the majority in "Democracy in America". Kama hatuwezi kuishi na haki za minorities, bora tuache kabisa kujifanya tuna demokrasia na vyama vingi. Turudishe uchifu tu na kuendeleza mnachokiita "utamaduni wetu".


1. Haki za mashoga ni haki za binadamu. Kwa kuwa mashoga ni "minority" tu, hilo haliwafanyi wasiwe na haki ya kuamua wanataka kulala na nani na wanataka kulala naye vipi. Na wao mashoga kwa msingi huo huo wa kutowapangia wengine , hawana haki ya kukulazimisha wewe usiyependa ushoga ulale na nani na ulale naye vipi. Ukitaka kuwapangia mashoga nani walale naye na walale naye vipi, na wewe uwe tayari kupangiwa nao ulale na nani na ulale naye vipi. Nafikiri kama hupendi ushoga hutakuwa radhi kuliachia bwabwa lililokuchunuku likupangie kwamba linataka ulale nalo. Sasa kama wewe hupendi kupangiwa, kwa nini unapenda kupangia wenzako? The golden rule says something to the effect of "do unto others as you would have them do unto you"

2. Mugabe pia anapingika kwa sababu ni mnafiki tu ambayetumia habari za mashoga kama kiini macho cha kutafuta support kisiasa baada ya kukosa issue yoyote ya maana ya uchumi/ maendeleo kuongea.Ndiyo maana utamsikia mara kamsifu Nyerere (huku hataki kuishi kama Nyerere anang'ang'ania urais mpaka afie Ikulu), mara kampinga Obama, hawezi kukuambia uchumi wa Zimbabwe kauendelezaje tangu achukue nchi kwa Muingereza.
 
Sijabadilika, labda sema uwezo wako wa kunielewa ni mdogo tu.

Mugabe ni kiongozi mbovu ambaye kama mfamaji, atatumia chochote ili abaki anaelea.

Uongozi wake mbovu unajumuisha udikteta wake, mauaji ya Wazimbabwe zaidi ya 20,000, kuufanya uchumi wa Zimbabwe uwe na superhyperinflation na double standards za kutaka kuwaandama gays wakati yeye mwenyewe alitoka nje ya ndoa yake.

Mugabe anapingika kwa sababu nyingi.

Alexis de Tocqueville aliongelea kirefu kuhusu the dangers of the tyranny of the majority in "Democracy in America". Kama hatuwezi kuishi na haki za minorities, bora tuache kabisa kujifanya tuna demokrasia na vyama vingi. Turudishe uchifu tu na kuendeleza mnachokiita "utamaduni wetu".


1. Haki za mashoga ni haki za binadamu. Kwa kuwa mashoga ni "minority" tu, hilo haliwafanyi wasiwe na haki ya kuamua wanataka kulala na nani na wanataka kulala naye vipi. Na wao mashoga kwa msingi huo huo wa kutowapangia wengine , hawana haki ya kukulazimisha wewe usiyependa ushoga ulale na nani na ulale naye vipi. Ukitaka kuwapangia mashoga nani walale naye na walale naye vipi, na wewe uwe tayari kupangiwa nao ulale na nani na ulale naye vipi. Nafikiri kama hupendi ushoga hutakuwa radhi kuliachia bwabwa lililokuchunuku likupangie kwamba linataka ulale nalo. Sasa kama wewe hupendi kupangiwa, kwa nini unapenda kupangia wenzako? The golden rule says something to the effect of "do unto others as you would have them do unto you"

2. Mugabe pia anapingika kwa sababu ni mnafiki tu ambayetumia habari za mashoga kama kiini macho cha kutafuta support kisiasa baada ya kukosa issue yoyote ya maana ya uchumi/ maendeleo kuongea.Ndiyo maana utamsikia mara kamsifu Nyerere (huku hataki kuishi kama Nyerere anang'ang'ania urais mpaka afie Ikulu), mara kampinga Obama, hawezi kukuambia uchumi wa Zimbabwe kauendelezaje tangu achukue nchi kwa Muingereza.
Naona hata wewe uwezo wako wa kunielewa ni mdogo sana.
 
Sijabadilika, labda sema uwezo wako wa kunielewa ni mdogo tu.

Mugabe ni kiongozi mbovu ambaye kama mfamaji, atatumia chochote ili abaki anaelea.

Uongozi wake mbovu unajumuisha udikteta wake, mauaji ya Wazimbabwe zaidi ya 20,000, kuufanya uchumi wa Zimbabwe uwe na superhyperinflation na double standards za kutaka kuwaandama gays wakati yeye mwenyewe alitoka nje ya ndoa yake.

Mugabe anapingika kwa sababu nyingi.

Alexis de Tocqueville aliongelea kirefu kuhusu the dangers of the tyranny of the majority in "Democracy in America". Kama hatuwezi kuishi na haki za minorities, bora tuache kabisa kujifanya tuna demokrasia na vyama vingi. Turudishe uchifu tu na kuendeleza mnachokiita "utamaduni wetu".


1. Haki za mashoga ni haki za binadamu. Kwa kuwa mashoga ni "minority" tu, hilo haliwafanyi wasiwe na haki ya kuamua wanataka kulala na nani na wanataka kulala naye vipi. Na wao mashoga kwa msingi huo huo wa kutowapangia wengine , hawana haki ya kukulazimisha wewe usiyependa ushoga ulale na nani na ulale naye vipi. Ukitaka kuwapangia mashoga nani walale naye na walale naye vipi, na wewe uwe tayari kupangiwa nao ulale na nani na ulale naye vipi. Nafikiri kama hupendi ushoga hutakuwa radhi kuliachia bwabwa lililokuchunuku likupangie kwamba linataka ulale nalo. Sasa kama wewe hupendi kupangiwa, kwa nini unapenda kupangia wenzako? The golden rule says something to the effect of "do unto others as you would have them do unto you"

2. Mugabe pia anapingika kwa sababu ni mnafiki tu ambayetumia habari za mashoga kama kiini macho cha kutafuta support kisiasa baada ya kukosa issue yoyote ya maana ya uchumi/ maendeleo kuongea.Ndiyo maana utamsikia mara kamsifu Nyerere (huku hataki kuishi kama Nyerere anang'ang'ania urais mpaka afie Ikulu), mara kampinga Obama, hawezi kukuambia uchumi wa Zimbabwe kauendelezaje tangu achukue nchi kwa Muingereza.

Usipotoshe hapa . Uchumi wa zimbabwe umedorora kutokana na kuwekewa vikwazo na mabeberu.
Kama sio vikwazo wangekua mbali
Kosa lake linajulikana nalo ni kuwanyanganya walowezi wa kizungu ardi.
Alichofanya ni kidogo sana na alichofanya nyerere kuhusu kutaifisha mali za raia.
Ushoga ni laana inaangamiza taifa .tayari Afrika tuna matatizo ya Ukimwi ambao umepunguza kiasi kikubwa population yetu na ni hatari kwa ustawi wa nchi.
Hivyo kuruhusu ushoga ni majanga. Tena hata death penalty ni sahihi tu
 
Hapa TAnzania kuna barabara inaitwa O-basha road iko nyuma ya Ikulu ya wahusika! Viongozi wa TAnzania hukurupuka sana na ndo maana hatuendelei!!
 
Usipotoshe hapa . Uchumi wa zimbabwe umedorora kutokana na kuwekewa vikwazo na mabeberu.
Kama sio vikwazo wangekua mbali
Kosa lake linajulikana nalo ni kuwanyanganya walowezi wa kizungu ardi.
Alichofanya ni kidogo sana na alichofanya nyerere kuhusu kutaifisha mali za raia.
Ushoga ni laana inaangamiza taifa .tayari Afrika tuna matatizo ya Ukimwi ambao umepunguza kiasi kikubwa population yetu na ni hatari kwa ustawi wa nchi.
Hivyo kuruhusu ushoga ni majanga. Tena hata death penalty ni sahihi tu

Na wale Wandebele aliowatumia askari rasmi waliopata mafunzo ya North Korea na kuwaua raia zake mwenyewe angalau 20,000 nao aliwaua kutokana na vikwazo vya mabeberu?

Unasema ushoga ni laana, kama mtu kajichagulia laana yeye mwenyewe kuhusu nani analala naye na analala naye vipi wewe inakuhusu nini?

Ukitaka kumpangia nani alale naye na alale naye vipi utakuwa radhi na yeye akupangie wewe pia nani utalala naye na utalala naye vipi?
 
"if obama wants me to allow gays marriage in zimbabwe,i should marry him first to show the good example"-robert mugabe..

Ndio huyu huyu mzee,ambaye alipoulizwa na wanahabari wa uingereza kuwa kwanini asiachie ngazi ilhali ameshazeeka, aliwauliza kama walishawahi kumuuliza swali kama hilo malkia wao..

Salute kwako uncle mugabe..


lau kama tungelikuwa na viongozi wanaoweza tamka kauli na kuzisimamia kwa asilimia mia, japo 10 ktk afrika, naamini tusingefanywa kichwa cha mwendawazimu na taifa lolote la kimagharibi. Akhsante sana mzee mugabe.
 
Hujajibu hoja.

Ungependa hawa mashoga wakuamulie wewe utalala na nani na utalala naye vipi?


Mkuu unaizungumzije kauli ya Museveni kuwa ushoga is not genetic? Does that mean watu hawatakiwi kuchukulia ushoga kama ni ka-race fulani ka watu?
 
Mkuu unaizungumzije kauli ya Museveni kuwa ushoga is not genetic? Does that mean watu hawatakiwi kuchukulia ushoga kama ni ka-race fulani ka watu?

Kupenda Pepsi au Coca Cola kunaweza kusiwe genetic, lakini je, hilo linatupa haki tuwapangie watu wapende Pepsi au Coca Cola?

Ulipoandika "Does that mean watu hawatakiwi kuchukulia ushoga kama ni ka-race fulani ka watu?" sijakuelewa unamaanisha nini hasa.

Kusema "ushoga is not genetic" ninavyoelewa mimi ni kumaanisha kwamba ushoga si hali ambayo mtu anazaliwa nayo kwa sababu ya "maumbile", kama vile mtu anavyoweza kurithi genes za kuweza kupata kansa au kisukari.

Lengo la kusema hivi ni kukataa dhana ya kwamba mashoga "wameumbika hivyo" na hawana control juu ya genes zao za ushoga.

This non-argument is totally hokum, since, katika mfumo wa kidemokrasia kitu hakihitaji kuwa genetic ili uwe na haki ya kukichagua, as long as huingilii haki ya mwingine kuchagua.

Watu wanapochagua vyama vya siasa, CCM/ CHADEMA kwa mfano, hawachagui kwa sababu wao ni CCM au CHADEMA genetically. Nyerere alisema hana uhusiano genetically na CCM na siku kikimyeyusha anakiacha aliposema CCM si mama yangu.

Kwa hiyo habari nzima ya "ushoga si genetic" haina maana, kwa sababu haki ya watu kuchagua wanavyotaka kuishi si lazima iwe genetic.

Kuna watu wameamua kupaka nywele zao rangi ya kijani, ndiyo fashion mpya ya vijana siku hizi, hii si genetic, lakini hilo haliwaondolei haki yao ya kupaka nywele rangi ya kijani (bongo ishafika hii?).
 
Kupenda Pepsi au Coca Cola kunaweza kusiwe genetic, lakini je, hilo linatupa haki tuwapangie watu wapende Pepsi au Coca Cola?

Ulipoandika "Does that mean watu hawatakiwi kuchukulia ushoga kama ni ka-race fulani ka watu?" sijakuelewa unamaanisha nini hasa.

Kusema "ushoga is not genetic" ninavyoelewa mimi ni kumaanisha kwamba ushoga si hali ambayo mtu anazaliwa nayo kwa sababu ya "maumbile", kama vile mtu anavyoweza kurithi genes za kuweza kupata kansa au kisukari.

Lengo la kusema hivi ni kukataa dhana ya kwamba mashoga "wameumbika hivyo" na hawana control juu ya genes zao za ushoga.

This non-argument is totally hokum, since, katika mfumo wa kidemokrasia kitu hakihitaji kuwa genetic ili uwe na haki ya kukichagua, as long as huingilii haki ya mwingine kuchagua.

Watu wanapochagua vyama vya siasa, CCM/ CHADEMA kwa mfano, hawachagui kwa sababu wao ni CCM au CHADEMA genetically. Nyerere alisema hana uhusiano genetically na CCM na siku kikimyeyusha anakiacha aliposema CCM si mama yangu.

Kwa hiyo habari nzima ya "ushoga si genetic" haina maana, kwa sababu haki ya watu kuchagua wanavyotaka kuishi si lazima iwe genetic.

Kuna watu wameamua kupaka nywele zao rangi ya kijani, ndiyo fashion mpya ya vijana siku hizi, hii si genetic, lakini hilo haliwaondolei haki yao ya kupaka nywele rangi ya kijani (bongo ishafika hii?).


Kusema kweli, hili swala bado ni gumu. From my point of view, ushoga ni disorder(hormonal/mental). So ni kama kusema "wasioona" waamue kuwa na vyama vyao na wawe na namna yao ya kutambulika katika jamii. Sasa sijui inakuwaje jamii inakubali kuwa tambua wasioona ila inawagomea mashoga.
(NB sitetei ushoga ila najaribu kuangali swala hili lilivyogumu ku-judge either positively or negatively).
 
Kusema kweli, hili swala bado ni gumu. From my point of view, ushoga ni disorder(hormonal/mental). So ni kama kusema "wasioona" waamue kuwa na vyama vyao na wawe na namna yao ya kutambulika katika jamii. Sasa sijui inakuwaje jamii inakubali kuwa tambua wasioona ila inawagomea mashoga.
(NB sitetei ushoga ila najaribu kuangali swala hili lilivyogumu ku-judge either positively or negatively).

Whether ushoga ni genetic au si genetic is irrelevant.

The relevant thing is, in a society that aspire to be democratic, people should have the freedom to choose how they live, as long as their freedom does not interfere with other's freedom.

Mtu akiniambia ana tatizo na gay's kuji advertise na kufanya ma parade ya "public displays of affection" naweza kumsikiliza, kwa sababu hilo linaweza ku involve kuingiliwa kwa uhuru wake wa kutotaka kuona gay parades, na labda kuingilia watoto wake kuwa influenced.

Vivyo hivyo mtu akiniambia hapendi kuona straight people waki kiss in public, kwa msingi huo huo, naweza kumsikiliza. Kwa sababu kuna mambo kibao yana play hapo, habari za minors, habari za watu wenye different religious beliefs, kuna hata hoja ya kwamba straights ku kiss in public kunaweza kuwa offend gays kama gay parades zinavyoweza kuwa offend straights.

Lakini hii habari ya kuwatungia sheria watu wazima, watu wameamua wenyewe kufanya mambo yao ya kulalana kwa jinsia moja, in private, tunapata wapi ushujaa wa kuanza kuwafuatilia kwa sheria katika jambo ambalo ni private kama hili?
 
Mnamsifia mjinga huyo alichukuwa nchi ikiwa first world kaifanya third world na nusu ya wananchi wake wameishia ukimbizini kuwa manamba..poleni kwa ujinga

.........wewe mjinga Zimbabwe ilikuwa lini First World !!??...........ikiwa wamepata Uhuru 1980 !!:A S 13:
 
Sijabadilika, labda sema uwezo wako wa kunielewa ni mdogo tu.

Mugabe ni kiongozi mbovu ambaye kama mfamaji, atatumia chochote ili abaki anaelea.

Uongozi wake mbovu unajumuisha udikteta wake, mauaji ya Wazimbabwe zaidi ya 20,000, kuufanya uchumi wa Zimbabwe uwe na superhyperinflation na double standards za kutaka kuwaandama gays wakati yeye mwenyewe alitoka nje ya ndoa yake.

Mugabe anapingika kwa sababu nyingi.

Alexis de Tocqueville aliongelea kirefu kuhusu the dangers of the tyranny of the majority in "Democracy in America". Kama hatuwezi kuishi na haki za minorities, bora tuache kabisa kujifanya tuna demokrasia na vyama vingi. Turudishe uchifu tu na kuendeleza mnachokiita "utamaduni wetu".


1. Haki za mashoga ni haki za binadamu. Kwa kuwa mashoga ni "minority" tu, hilo haliwafanyi wasiwe na haki ya kuamua wanataka kulala na nani na wanataka kulala naye vipi. Na wao mashoga kwa msingi huo huo wa kutowapangia wengine , hawana haki ya kukulazimisha wewe usiyependa ushoga ulale na nani na ulale naye vipi. Ukitaka kuwapangia mashoga nani walale naye na walale naye vipi, na wewe uwe tayari kupangiwa nao ulale na nani na ulale naye vipi. Nafikiri kama hupendi ushoga hutakuwa radhi kuliachia bwabwa lililokuchunuku likupangie kwamba linataka ulale nalo. Sasa kama wewe hupendi kupangiwa, kwa nini unapenda kupangia wenzako? The golden rule says something to the effect of "do unto others as you would have them do unto you"

2. Mugabe pia anapingika kwa sababu ni mnafiki tu ambayetumia habari za mashoga kama kiini macho cha kutafuta support kisiasa baada ya kukosa issue yoyote ya maana ya uchumi/ maendeleo kuongea.Ndiyo maana utamsikia mara kamsifu Nyerere (huku hataki kuishi kama Nyerere anang'ang'ania urais mpaka afie Ikulu), mara kampinga Obama, hawezi kukuambia uchumi wa Zimbabwe kauendelezaje tangu achukue nchi kwa Muingereza.

..........wakati huo huo wanasema kuoa mke zaidi ya mmoja ni ukiukaji wa haki za binaadamu !:A S 13:
 
Kum-persecute mtu kutokana na aina ya maisha anayoishi ilhali hayana madhara kwa wengine ni uonevu na ukandamizaji.

Mtu pilipili usiyoila inakuwashia nini?

Sawa, mtu unaweza usifurahishwe na mashoga lakini huna haki ya kuwaadhibu kisa tu wao ni mashoga.

Kama hawaingilii anga zako tatizo liko wapi?

................bora ungepungukiwa damu, tungekuongeza !...........lakini akili !??:loco:
 
Kum-persecute mtu kutokana na aina ya maisha anayoishi ilhali hayana madhara kwa wengine ni uonevu na ukandamizaji.

Mtu pilipili usiyoila inakuwashia nini?

Sawa, mtu unaweza usifurahishwe na mashoga lakini huna haki ya kuwaadhibu kisa tu wao ni mashoga.

Kama hawaingilii anga zako tatizo liko wapi?


Picha tuliyonayo ni kwamba ushoga unakwenda kinyume na maumbile ya asili. Ushoga ni disorder. Tatizo lililopo ni kuwa mashoga wanataka kufanya mambo yao ni sawa na ya wengine wakati ukweli ni kwamba wao ni wagonjwa. Tatizo linakuwa gumu zaidi pale tunapoandaa mashindano ya "paraolympic" na mashoga nao wakadai "gayolympic". Si unaona utata huo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom