Hahahahaaa Blaki Womani umeniingiza mjini ila nimegundua ni chaka..... marejesho yuko Dar na Kipipi yuko njiani anakuja Arusha leo lol ukipata muda uje mitaa ya kwangu umsalimie
Baba V mpendwa, nakushukuru kwa Pole yako.
Ni kweli nilikuwa msibani na Nicas Mtei amewawakilisha vyema sana wana Jf,Tunashukuru sana,
Me nimemmiss Washawasha kwa kauli yake ya nalog off, mwita25 na faiza foxy kule jukwaa la stress kwa roho zao za ukauzu kuitetea thithiem...! Teh!
nimekumiss sana dada angu. Nimefurahi kukuona tena. karibu sana cath. miamie hujanimiss mzee wa mia?
duduwasha!!!!!
AshaDii upo wapi mama iam humbled...
pamoja sana
Zion D, nipo dearest... Najitahidi kubalance mambo kuipa JF priority pia but nachemka... Lol.
Nimewamiss Gaga (nime mmiss mno!), Michelle, Asprin, Lizzy, The Finest, afrodenzi, Faiza Foxy, Mwita25, queenkami, 3D., jouneGwalu, Dena Amsi, sweetlady, Keren_Happuch, Shantel, klorokwini, Steve Dii, Mwali... Na wengine wengi sana... Hawa ndio nimekumbuka sasa hivi at par..
Zion D naamini kuwa ni mzima wa afya...
Mhhh,umenimiss nami leo nikaingia JF....lol...duh,hao uliowamiss nami nimewamii jamani....sijui wako wapi??
hahaha! Michelle mie nimekuona missing imeisha... sasa tuunge forces za kupiga kelele warudi haraka iwezekanavyo! Hivi hawajui ni dhambi kama mtu ana nung'nika kuku miss alafu hutokezi... Lol.
Happy to see you dear... :dance:
Lol....Happy to see you too dear... sijui ni majukumu gani wameyapata wote kwa pamoja wakawa busy?? Mi niko tayari tuunge forces ili waweza kurudi....!!