Umemmis nani hapa Jf?

Umemmis nani hapa Jf?

Tumekusubiri umekuja...ha ha ha...Chezea Ashadii sasa,kaita umeitika muone kwanza....vipi wifi hajambo na wewe kaka yangu unaendelaje? naona furaha inatuweka mbali....LOL
Hahahahaha....Kwanza nimenuna hadi uje nyumbani haiwezekani tunakuja kusalimiana hapa kama strangers yaani na ukija nyumbani ni wiki ndio unarudi....hahaha...hajambo ila sasa ndio uje anasema atavunja undugu na wewe very soon halafu huyu AshaDii dawa yake naijua tu
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha...sawa basi niko busy na uchaguzi wa Marekani namsaidia Obama ashinde maana Mitt Romney amemkalia kooni vibaya sana


Ewaaaah! Najua hapo pesa ndefu tutapata... Naona sasa safari hii nitagaiwa pesa ya kutosha kumaliza matatizo yangu yoote! Tena makazene kweli kweli; nimemkubali sana Romney, jamaa is really really good at kukaba, in a way amefanya ioneshe ni kwa namna gani kumbe Obama ako fit!
 


Miss you too ASHA.....

Ila jamani mbona nipo?? Ok nimekuelewa..... Baada ya kuichek hiyo list hapo juu sure nimekumbuka those days ukiwapata watu hao kwa jukwaa basi haki ya Mungu hutoki.....

Halafu nina story maalumu ya huyo twin wake afrodenzi anaitwa Lizzy.

Ntakunong'oneza lol

Sijui kwanini siku hazirudi nyuma mweh.

Pia nimemkumbuka sana MTM na Nyambala.

Thread nzuri sana Sabry001, thanks kwa wazo nadhani tutapatana wengi
 
Last edited by a moderator:
Zion D, nipo dearest... Najitahidi kubalance mambo kuipa JF priority pia but nachemka... Lol.

Nimewamiss Gaga (nime mmiss mno!), Michelle, Asprin, Lizzy, The Finest, afrodenzi, Faiza Foxy, Mwita25, queenkami, 3D., jouneGwalu, Dena Amsi, sweetlady, Keren_Happuch, Shantel, klorokwini, Steve Dii, Mwali... Na wengine wengi sana... Hawa ndio nimekumbuka sasa hivi at par..

Zion D naamini kuwa ni mzima wa afya...
Narudi narudi narudi, nimekusikia,naenda mdogomdogo naona sooo much changes,ngoja namie nichangie nipate status
 
Me nimemmiss Washawasha kwa kauli yake ya nalog off, mwita25 na faiza foxy kule jukwaa la stress kwa roho zao za ukauzu kuitetea thithiem...! Teh!

Nimemmisi sana Mende0 na MCHwechwere
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaha....Kwanza nimenuna hadi uje nyumbani haiwezekani tunakuja kusalimiana hapa kama strangers yaani na ukija nyumbani ni wiki ndio unarudi....hahaha...hajambo ila sasa ndio uje anasema atavunja undugu na wewe very soon halafu huyu AshaDii dawa yake naijua tu

Nakuja kaka yangu,mwambie wifi anivumilie ni challenges tu za maisha zinaniweka mbali ila nitakuja hivi karibuni...naomba usitumie dawa yeyote kwa Ashadii,ikimbadili jinsi alivyo nitapata shida...mkubali hivyo hivyo....lol
 
Miss you too ASHA.....

Ila jamani mbona nipo?? Ok nimekuelewa..... Baada ya kuichek hiyo list hapo juu sure nimekumbuka those days ukiwapata watu hao kwa jukwaa basi haki ya Mungu hutoki.....

Halafu nina story maalumu ya huyo twin wake afrodenzi anaitwa Lizzy.

Ntakunong'oneza lol

Sijui kwanini siku hazirudi nyuma mweh.

Pia nimemkumbuka sana MTM na Nyambala.

Thread nzuri sana Sabry001, thanks kwa wazo nadhani tutapatana wengi


Was complaining sabb hatujagongana siku nyingi kwenye threads... Lol. Happy to see u.
 
Narudi narudi narudi, nimekusikia,naenda mdogomdogo naona sooo much changes,ngoja namie nichangie nipate status

Gaga NIMEFURAHI mno kukuona! Duh! yaani katika wana wapotevu wewe unashika bango! Welcome back dearest... So happy to see you...
 
NIME JI MISS MWENYEWE SIKUHIZI SIPO ACTIVE JF 24/7 NIPO TWITTER. Mx
 
dah!.....

i love you all!.....

i really love you guys.....!

stay blessed....!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom