Umemmis nani hapa Jf?

Umemmis nani hapa Jf?

BADILI TABIA U cant be serious, yan unakosea jina la mmeo?
Nimeifuatilia post yake kuona alipokosea jina langu sikupaona, mpaka nilipoona hii makitu hapa chini....khaa! ALikuwa ameandikaje my dear charminglady??

Last edited by BADILI TABIA; Yesterday at 22:57.

my one n only hubby Asprin, shem Kaizer gfsonwin wake wenzangu cacico na Yummy

kidumu wa zamani Erickb52, mgombea mwenza wa kale Amyner.... Bishanga Buzi langu la enzi zileeeeeeeeeeeeeeee kabla sijaposwa na Asprin (msisitizo Asprin ndo alivunja kufuli) The secretary

na wengineo.......
 
Last edited by a moderator:
Nimeifuatilia post yake kuona alipokosea jina langu sikupaona, mpaka nilipoona hii makitu hapa chini....khaa! ALikuwa ameandikaje my dear charminglady??

Last edited by BADILI TABIA; Yesterday at 22:57.

asiyekuwepo na lake halipo, mwanaume hupitwi. wake zako wote wamelala we macho juu juu jf. . . utasaidiwa oohooo shaur
https://www.jamiiforums.com/newreply.php
 
Last edited by a moderator:
Frankly writing namkumbuka sana Madame B. Kuwa kwake hapa jamvini huleta changamoto sana. Sijui nifanyeje arudi mapema Preta amekuwa bize naye hata mwandiko wake hapa jamvini ni wa kuvizia. Au ndiyo yale mambo yale nini? JF haizuiliki wape makavu!


jamani Arushaone papito hata nami nakukumbuka sana,
Nikinywa maji nakuona kwenye glassi,
Usijali nimesharejea na Zawadi yako ya Utukufu.
 
Last edited by a moderator:
asiyekuwepo na lake halipo, mwanaume hupitwi. wake zako wote wamelala we macho juu juu jf. . . utasaidiwa oohooo shaur
https://www.jamiiforums.com/newreply.php
Acha wanisaidie watakavyo, ila hii makitu sitaki msaada!! Mi bado sijatosheka


attachment.php
 
Nimemmiss klorokwini jamani, yoyote atakayenionea kloro amwambie namtafuta. Lol.
Asprin usaidie kwa hilo... (umeelewa eeh?)
 
Last edited by a moderator:
Acha wanisaidie watakavyo, ila hii makitu sitaki msaada!! Mi bado sijatosheka


attachment.php

teh teh teh, kumbe ndo mana ulipata kiburi cha kupost ucku. kumbe ulikuwa kwa mama muuza. . . eeh!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom