suregirl
JF-Expert Member
- Jun 8, 2012
- 6,056
- 198
Koh koh...nimepaliwa na chai...
ahahahhaha pole hujaungua???
Koh koh...nimepaliwa na chai...
poa tu.. kwnai nini bana..!
Lakini nachukua jumla jumla...
mambo ya kutoa 1m afu niwe na wasaidizi sitaki..!
..
mi naona waweke kwanza current salary sleep na bank statement hapa kwanza ndo ntajua hupi nadondoka
Venue na mda tafadhali, ladies first...!
Lakini hiyo venue iwe na sehemu ya kupumzika coz after work ntakuwa nimechoka sana..lol
christine ibrahim, kwani we umemdondokea nani..!cc Miss Chagga
Bagamoyo....si utapenda kupumzika hadi jumapili?
cc Miss Chagga
christine ibrahim, kwani we umemdondokea nani..!
Mie naona we utanifaa coz kila asubuhi na jioni tutasoma baibo...hahahaha!
Ohoooo, mshenga tena! Mweh kweli hizi siku za mwisho!! Jamani jamani patachimbika humu! Wewe Eli79 si ulikua unamwonaga benda18 kila siku humu kabla mimi kuanzaga, kumbe ulikua unashangilia wakati unayako pembeni. Mimi nina wasiwasi na Mapi tu hapa. Sijui how in deep kaingia. Lakini sio tatizo we ngoja nimtoe binti kwa date moja tu ndio huyo mapi atakua X na kuwekewa V badala ya P!!teeeh! I'm a match maker...! Kama huamini muulize miss chagga atakuambia, tatizo lake pesa mbele kama tai, naona jamaa alishindwa..! Tembosa kama upo anga hizi tupiamo macho kidogo..!
Lakini kama Nyamgluu anajing'ata, i'll definitely take over the race..! ha ha ha!
tatizo mie niko rock city..au upande fastjet kabisa uje huku..teeeh!
hiyo ya kuandika Mr and Mrs nafikiri haijalishi mko wangapi na ndio maana kuna vyeti vya ndoa na kuna ile sehemu ya aina ya ndoa- mke mmoja; wake wengi au huwenda ikawa ya wake wengi. As long as ulitick mke mmoja- hata wapange msururu bado haki yako itakuwa yako kama mke halali wa marehemu oh hayati.
Ukimuona, mfikishie salaam. Chondechonde, jamaa yake asizipate habari hizi.
Hahahaa haaaa
Baibo muda wote utaweza?