Umemdondokea nani humu chumbani

Umemdondokea nani humu chumbani

Dah, niliona hii mkuu, uliona na alivyojibiwa? Kweli fimbo ya mbali... lakini we ngoja tu! Lakini ofcourse nilitegemea hili, kwa mwanamke kiwango kama brenda18 for sure hutegemei ukajibebea tu bila some blood and sweat, au vipi Eli79 ? She is worthy to fight for, even to start a full war!!
 
Last edited by a moderator:
:horn::horn::horn::horn::horn::horn:mate mate mate mate mate mate pleaaaaaaaaassssss...
 
Dah, niliona hii mkuu, uliona na alivyojibiwa? Kweli fimbo ya mbali... lakini we ngoja tu! Lakini ofcourse nilitegemea hili, kwa mwanamke kiwango kama brenda18 for sure hutegemei ukajibebea tu bila some blood and sweat, au vipi Eli79 ? She is worthy to fight for, even to start a full war!!

Kama ulikuwa hujui, ameshaniteua kuwa mshenga wako tayari...the rest is up to you man!!!
CC brenda18
 
Last edited by a moderator:
mimi kwa kweli kinachonishangaza ni shem wangu Asprin kila msichana anayekuja humu anamganda yeye sijui kwa nn au kwa sababu anatuliza maumivu kwa haraka na upesi? naomba kufahamishwa tafadhali.
 
Kuna rimkaka nimeridondokea rakini harinijibu PM yangu. Jaman wewe rikaka nijibu basi.... Asipojibu ndani ya masaa 24 nabandika ID yake hapa!

ntakujibu usijali .. Tatizo nilikuwa siamin amin kama unanitaka kweli
 
Back
Top Bottom