Umemdondokea nani humu chumbani

Umemdondokea nani humu chumbani

mimi nadondokea wote wenye hela zao yani ukiwa na hela nakudondokea... namaanisha unaweza nipa hela ya matumizi ya siku milion moja.... i love u so so so much ... i love your money oh mama
 
mimi kwa kweli kinachonishangaza ni shem wangu Asprin kila msichana anayekuja humu anamganda yeye sijui kwa nn au kwa sababu anatuliza maumivu kwa haraka na upesi? naomba kufahamishwa tafadhali.

Unajua ulivyoniita "shem" ushaniharibia sehemu? Hebu fafanua kabisa kuwa wewe ni waifu wa braza ili niwe salama.

BTW we hujawahi kunidondokea?

cc mwenyekiti Kaizer hebu kuja pande hii kwa maslahi ya chama.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom