Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Hahahaha...hata mimi imebidi nicheke coz uliniacha na ngeu..lol..!
Bas Weekend hii itapona I hope na mimi ntapona lol
Hahahaha...hata mimi imebidi nicheke coz uliniacha na ngeu..lol..!
Na hela ya kutoka nayo ntampa mimiBasi basi mama jamani loh
Mweh mweh! Nimekupisha mkuu. Hata mie nimepata options nyingi tu. Niko na mke wa mtu Khantwe, miss chagga sema nae ni mkwanja tuuuu, christine ibrahim japo sijajua kama nna uwezo wa kusali na kusoma baibo kabla ya kula chakula cha uzima.I will sing this beautiful song every moment ninapohema...
you are my everything, you are the world to me
without you am nothing, with you am something, together we are something
Eli79 pisha njia
Mwenyekiti na homuboi wangu.... ni hiyu Lisa kaniita shemeji mbele ya mabinti naotaka kuwasajili kwenye chama..... Yani ni kama Mbowe aseme Kidumu Chama Cha Mapinduzi kwenye mkutano mkuu wa CDM anapoomba kura za kuwa mwenyekiti....
Baaada ya kusema hayo naomba mwongozo wako kama huyu Lisa apewe kadi ama laa.
Mweh mweh! Nimekupisha mkuu. Hata mie nimepata options nyingi tu. Niko na mke wa mtu Khantwe, miss chagga sema nae ni mkwanja tuuuu, christine ibrahim japo sijajua kama nna uwezo wa kusali na kusoma baibo kabla ya kula chakula cha uzima.
Ohoooo, mshenga tena! Mweh kweli hizi siku za mwisho!! Jamani jamani patachimbika humu! Wewe Eli79 si ulikua unamwonaga benda18 kila siku humu kabla mimi kuanzaga, kumbe ulikua unashangilia wakati unayako pembeni. Mimi nina wasiwasi na Mapi tu hapa. Sijui how in deep kaingia. Lakini sio tatizo we ngoja nimtoe binti kwa date moja tu ndio huyo mapi atakua X na kuwekewa V badala ya P!!
YOU HEEAARRRDD!!!
huyu Lisa tumfanyie vetting kwanza bana......anaonekana anaweza kuharibu maadili ya chama.......
halafu huyu Lisa kama nishakuwaga na mchakato naye au ni mwingine?
baada ya kusema hayo naomba niseme kwamba nimeona 'uovu' wa Khantwe, miss chagga, brenda18 kwenye huu uzi wa mzee Mwiba. Mapi ndugu yangu twende kwenye magari hapa tunaibiwa
DEMBA usije hapa tafadhali, waambie na dada zako AshaDii na gfsonwin
Mweh mweh! Nimekupisha mkuu. Hata mie nimepata options nyingi tu. Niko na mke wa mtu Khantwe, miss chagga sema nae ni mkwanja tuuuu, christine ibrahim japo sijajua kama nna uwezo wa kusali na kusoma baibo kabla ya kula chakula cha uzima.
Mwenyekiti na homuboi wangu.... ni hiyu Lisa kaniita shemeji mbele ya mabinti naotaka kuwasajili kwenye chama..... Yani ni kama Mbowe aseme Kidumu Chama Cha Mapinduzi kwenye mkutano mkuu wa CDM anapoomba kura za kuwa mwenyekiti....
Baaada ya kusema hayo naomba mwongozo wako kama huyu Lisa apewe kadi ama laa.
inaonekana kunasiri unaijua wakati mimi siijui, nidokeze ndugu yangu
maana hata huko kwenye magari nikienda bila kuweka sawa hapa ntapata ajali tu
Hahahaha..lolest...mimi am waiting for the winner😉😉
Tatizo unanisahau kila siku, kwa hiyo acha nibaki nakuita shem hivyo hivyo mpk utakapokumbuka kama ni muke ya mwana mdogo au mkubwa.
CC Kaizer
CC Tetra sijui uko wapi nimekumiss sana
hapa sijapaona :cool2:
Hapo kwenye Red ndiye mwenyewe huyo huyo, ila alipotea kwa muda kutokana na majukumu ya kichuo, sasa yupo likizo ndiyo maana amerudi tena kundini.huyu Lisa tumfanyie vetting kwanza bana......anaonekana anaweza kuharibu maadili ya chama.......
halafu huyu Lisa kama nishakuwaga na mchakato naye au ni mwingine?
baada ya kusema hayo naomba niseme kwamba nimeona 'uovu' wa Khantwe, miss chagga, brenda18 kwenye huu uzi wa mzee Mwiba. Mapi ndugu yangu twende kwenye magari hapa tunaibiwa
DEMBA usije hapa tafadhali, waambie na dada zako AshaDii na gfsonwin
hivi mbona hukunialika anivesare?
Tatizo nduguyo ningemueleza nn? naogopa maswali maana ya kwenye mtihani tu shida kujibu je hayo, au unataka nipewe kadi ya njano kwenye kula sakalamenti takatifu mwenzio, na ninavyoipenda Loh! utafanya nife na kiu.
Unajua ulivyoniita "shem" ushaniharibia sehemu? Hebu fafanua kabisa kuwa wewe ni waifu wa braza ili niwe salama.
BTW we hujawahi kunidondokea?
cc mwenyekiti Kaizer hebu kuja pande hii kwa maslahi ya chama.
umeelewa sasa mdogo wangu?