Umemdondokea nani humu chumbani

Umemdondokea nani humu chumbani

Sina haja ya kujisifia...ila elewa hatoki tena na hata "kwa bahati mbaya" akitoka hapa ndiyo nyumbani lazima arudi.
Hio "kwa bahati mbaya" hio ulioruhusu ndio kilio chako ndugu. Dah, ni kwa masikitiko nakunyang'anya mwanaume mwenzangu tonge lako, lakini huyu brenda18 ni mwanamke anayestahili the best in life. Nashukuru unaonyesha dalili za kumpenda na kumtakia furaha unlimited maishani, ni ishara nzuri ya upendo wa kweli. Nami nakuahidi Mapi, nitampa raha isiyo na kifani, na wala hutajutia maamuzi yako ya kumwachia brenda18 "kwa bahati mbaya" aje kuonja vilivyo bora duniani.
Jamani maisha ndio haya, tuonyeshane upendo kama Mapi alivyoonyesha kwa brenda18, nami sitamuangusha mwanaume mwenzangu kwa sacrifice aliyofanya kwa ajili ya furaha ya mwanamke wa kweli. I will do justice to this woman!

It's a dirty jo, but somebody gotta do it! Case closed.

cc Eli79 Kaizer
 
Last edited by a moderator:
Kama kawa...sasa ile juzi, ule mkokoteni uliousogeza pale kibarazani ulikuwa umekukosea nini?
...Nisalimie mvaa kikofia muendesha family cab....hahahah!!!!!!
Najua wivu huna ila roho inauma.....same to me!!!!

ha ha ha wala hainiumi kwan mchepuko wa mchepuko nae ni mchepuko na kwann ulijificha kwenye kona kule ulidhan sikukuona wangu. ila fresh jamaa anakaba mpaka kivuli hadi toi unae
 
Hio "kwa bahati mbaya" hio ulioruhusu ndio kilio chako ndugu. Dah, ni kwa masikitiko nakunyang'anya mwanaume mwenzangu tonge lako, lakini huyu brenda18 ni mwanamke anayestahili the best in life. Nashukuru unaonyesha dalili za kumpenda na kumtakia furaha unlimited maishani, ni ishara nzuri ya upendo wa kweli. Nami nakuahidi Mapi, nitampa raha isiyo na kifani, na wala hutajutia maamuzi yako ya kumwachia brenda18 "kwa bahati mbaya" aje kuonja vilivyo bora duniani.
Jamani maisha ndio haya, tuonyeshane upendo kama Mapi alivyoonyesha kwa brenda18, nami sitamuangusha mwanaume mwenzangu kwa sacrifice aliyofanya kwa ajili ya furaha ya mwanamke wa kweli. I will do justice to this woman!

It's a dirty jo, but somebody gotta do it! Case closed.

cc Eli79 Kaizer

Unahasara sana.....kama utangoja aponyoke ndiyo umpate...Hyo "kwa bahati" mbaya ipo too limited. Mazingira ya kutokea kwake ni labda umbake japo nalo ni gumu maana mbinu zote za kujihami dhidi ya wabaya nilishamfundisha
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha wala hainiumi kwan mchepuko wa mchepuko nae ni mchepuko na kwann ulijificha kwenye kona kule ulidhan sikukuona wangu. ila fresh jamaa anakaba mpaka kivuli hadi toi unae

Hahahaaaaaaa.....si unajua ukitaka kumuua nyani usimuangalie usoni.
Ila nafurahi kukuona uko single ready for mingle.....looolll!!!!
Halafu mbona kama naona chenga hivi?
au mie sijui kucheza na alama za nyakati?
.....hivi ulichoka ghafla mawasiliano na mchepuko huu au ilikuwaje?
 
Hahahaaaaaaa.....si unajua ukitaka kumuua nyani usimuangalie usoni.
Ila nafurahi kukuona uko single ready for mingle.....looolll!!!!
Halafu mbona kama naona chenga hivi?
au mie sijui kucheza na alama za nyakati?
.....hivi ulichoka ghafla mawasiliano na mchepuko huu au ilikuwaje?

ok let cut a ---- nipigie nipo available tuonane
 
Hahahaaaaaaa.....si unajua ukitaka kumuua nyani usimuangalie usoni.
Ila nafurahi kukuona uko single ready for mingle.....looolll!!!!
Halafu mbona kama naona chenga hivi?
au mie sijui kucheza na alama za nyakati?
.....hivi ulichoka ghafla mawasiliano na mchepuko huu au ilikuwaje?

Aisee....

Shemejiiiiii......
 
Huu ni ugomvi sasa!!! Ila poa tu, kuna kipindi nilimtaja akawa nongwa kuna watu walipm!!! ....dii
 
Back
Top Bottom