Umemdondokea nani humu chumbani

Umemdondokea nani humu chumbani

How can I know my favourite colour is tarquoise if I don't have choices of other colour...I can only make choices when I have varieties

I present myself as an optional colour, just in case you need choices..hahahaha!
 
Nisiombe af mi nile nini na watoto.....we mwanamke jiangalie yan umepewa lifti unataka kupiga na honi? Shika adabu yako

ha ha ha ha Khantwe mbona maneno kukutoka hivyo loh.... sasa lifi kama naona unagonga mtu sinapiga honi jamani mweee.... usiombe hela
 
Last edited by a moderator:
Ohoooo, mshenga tena! Mweh kweli hizi siku za mwisho!! Jamani jamani patachimbika humu! Wewe Eli79 si ulikua unamwonaga benda18 kila siku humu kabla mimi kuanzaga, kumbe ulikua unashangilia wakati unayako pembeni. Mimi nina wasiwasi na Mapi tu hapa. Sijui how in deep kaingia. Lakini sio tatizo we ngoja nimtoe binti kwa date moja tu ndio huyo mapi atakua X na kuwekewa V badala ya P!!

YOU HEEAARRRDD!!!

Hahahaha..lolest...mimi am waiting for the winner😉😉
 
Last edited by a moderator:
haya wadau leo mimi msomaji tu…

avatar248103_3.gif
 
“I love you,
Not only for what you are,
But for what I am
When I am with you.
I love you,
Not only for what
You have made of yourself,
But for what
You are making of me.
I love you
For the part of me
That you bring out;
I love you
For putting your hand
Into my heaped-up heart
And passing over
All the foolish, weak things
That you can’t help
Dimly seeing there,
And for drawing out
Into the light
All the beautiful belongings
That no one else had looked
Quite far enough to find.
I love you because you
Are helping me to make
Of the lumber of my life
Not a tavern
But a temple;
Out of the works
Of my every day
Not a reproach
But a song.
I love you
Because you have done
More than any creed
Could have done
To make me good
And more than any fate
Could have done
To make me happy.
You have done it
Without a touch,
Without a word,
Without a sign.
You have done it
By being yourself.

I will sing this beautiful song every moment ninapohema...
you are my everything, you are the world to me
without you am nothing, with you am something, together we are something
Eli79 pisha njia
 
Last edited by a moderator:
Hommie hapa tunadiskasheni nini maana kumtoa mwennyekiti kwenye mkutano wa UKAWA sio jambo dogo, ujue tunajadili hadi umri wa Miss Tanzania. Hapa kuna nn? Lisa kafanyaje tena?

Mwenyekiti na homuboi wangu.... ni hiyu Lisa kaniita shemeji mbele ya mabinti naotaka kuwasajili kwenye chama..... Yani ni kama Mbowe aseme Kidumu Chama Cha Mapinduzi kwenye mkutano mkuu wa CDM anapoomba kura za kuwa mwenyekiti....

Baaada ya kusema hayo naomba mwongozo wako kama huyu Lisa apewe kadi ama laa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom