Umemdondokea nani humu chumbani

Umemdondokea nani humu chumbani

huyu Lisa tumfanyie vetting kwanza bana......anaonekana anaweza kuharibu maadili ya chama.......

halafu huyu Lisa kama nishakuwaga na mchakato naye au ni mwingine?

baada ya kusema hayo naomba niseme kwamba nimeona 'uovu' wa Khantwe, miss chagga, brenda18 kwenye huu uzi wa mzee Mwiba. Mapi ndugu yangu twende kwenye magari hapa tunaibiwa
DEMBA usije hapa tafadhali, waambie na dada zako AshaDii na gfsonwin

Hahaha...uovu upi kaka Kaizer mbona wataka nipeperushia ndege wangu ati
cc: Mapi Nyamgluu
 
Last edited by a moderator:
Watu walishajengeana hadi majumba wakaachana sembuse mashairi. Hayo maneno tuuu hata kwenye kanga yapo! We endelea kuimba, nitakununulia zeze uje utuburudishe ufukweni pale escape au meriddean huku nimnywesha mtoto brenda18 coctail kwa mudomo!

Halafu Eli79 kaka ebu rudi team yangu kwanza. Tummalize Mapi halafu mimi nawewe tutaongea ndugu. Tumetoka mbali!

If you can't fight them,join them...smart hapa ndo nakupendea waweza nyakua taji.😉
 
Last edited by a moderator:
Watu walishajengeana hadi majumba wakaachana sembuse mashairi. Hayo maneno tuuu hata kwenye kanga yapo! We endelea kuimba, nitakununulia zeze uje utuburudishe ufukweni pale escape au meriddean huku nimnywesha mtoto brenda18 coctail kwa mudomo!

Halafu Eli79 kaka ebu rudi team yangu kwanza. Tummalize Mapi halafu mimi nawewe tutaongea ndugu. Tumetoka mbali!
brenda18 kwangu kafika, kama ni meli basi imetia nanga,
we utapiga kelele tu kama chura dimbwini ila mimi maji nitayanywa.
Muulize atasema, nani raha humpatia.
 
Last edited by a moderator:
Hivi hujajiuliza kwa nini mahudhurio ya Kongosho siku hizi sio mazuri? nadhani umetimiza wajibu wako, nenda zako kwa amani, niite wakati wa ubatizo.

Kwa jinsi hii ODM alimpenda Kongosho hata akazituma mbegu zake ili kila zimuingiapo asitoke tupu bali apate mimba dume.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom