Hivi lile banda lako la kuku limekwisha , maana nitakapotimiliwa niweze kupata pa kuingia , halafu na mpe taarifa mama kokushubya kuwa kuna mgenyi anatarajiwa kuja wakati wowote, anaitwa kokubanza from kanyigo village.
Bado staki kuamini kinachoendelea....
Watu walishajengeana hadi majumba wakaachana sembuse mashairi. Hayo maneno tuuu hata kwenye kanga yapo! We endelea kuimba, nitakununulia zeze uje utuburudishe ufukweni pale escape au meriddean huku nimnywesha mtoto brenda18 coctail kwa mudomo!I will sing this beautiful song every moment ninapohema...
you are my everything, you are the world to me
without you am nothing, with you am something, together we are something
Eli79 pisha njia
Tatizo unanisahau kila siku, kwa hiyo acha nibaki nakuita shem hivyo hivyo mpk utakapokumbuka kama ni muke ya mwana mdogo au mkubwa.
CC Kaizer
CC Tetra sijui uko wapi nimekumiss sana
??? sijaelewa nakuja without Pichu, mzee, nguo, au nieleweshe
Watu walishajengeana hadi majumba wakaachana sembuse mashairi. Hayo maneno tuuu hata kwenye kanga yapo! We endelea kuimba, nitakununulia zeze uje utuburudishe ufukweni pale escape au meriddean huku nimnywesha mtoto brenda18 coctail kwa mudomo!
Halafu Eli79 kaka ebu rudi team yangu kwanza. Tummalize Mapi halafu mimi nawewe tutaongea ndugu. Tumetoka mbali!
Chei chei kaka...
Una akili kama Maria Magdalena..... haya njoo chapchap ukishavua vya ndani.
Halafu ukimaliza unajitumbuiza na wimbo wa kidogo kidogo ukinyata nyata wakati umeweka kataulo kadogo begani ukielekea bafuni Loh! hahahahahaha!!!!unanichekeshaga na vituko vyako tu.
afadhali mmoja umejitoa, ngoja huyu mwingine na vidate vyake vya danganya toto
mpenzi brenda18 Usidanganyike mama, unayajua mapenzi yangu juu yako, sipo tayari uende kwa mwingine....
Ntakusemelea..... kama vipi nifanyie mpango wa rushwa ya miss neddy.