Umejifunza mambo gani JamiiForums..?

Umejifunza mambo gani JamiiForums..?

Nimejifunza kuwa mwadamu akiwa peke yake au haonekani au kujulikana kuwa ana tabia sawa na mnyama.
Humu kuna watu wenye heshima lakini humu hupost ujinga.
So jamii forum imekuwa darasa zuri sana kufahamu tabia zetu
 
Nimejifunza mambo mengi kuhusu maisha,
Nimejifunza pia kucheza na akili za watu baada ya zangu kuchezewa. Nikaamua kama noma na iwe noma.
Naipenda sana jf
Nadhani saizi uko makini hawatokuchezea tena akili
 
Mhhhhh.....[emoji4] [emoji4] [emoji4]
Kwasasa siwezi kusema, sababu bado naendelea kujifunza aiseeee...
 
Mi nimejifunza kuwa kuna wasomi jf ni mbumbumbu, hawajui walikotokea, walipo, na waendapo. Kupinga uwepo WA MUNGU. Maana MUNGU asema, mpumbavu asema moyoni mwake hakuna MUNGU. Ndo maana nasema ni mbumbumbu
 
Nimeamua kua muungwana kwa kutaka kujitendea haki kwa kusema kwamba........
Bado sijamaliza kujifunza, hapa namaanisha aijafikia mwisho wa kutamani kujifunza
hakuna shida ila
Huwezi kumaliza shule ya Jf,mwisho wake kujifunza labda ufe au Jf ifungiwe
 
Back
Top Bottom