Umejifunza mambo gani JamiiForums..?

Umejifunza mambo gani JamiiForums..?

Kusema ukweli na
Kuwa mkweli hata polisi,mahakamani au kwa Mungu.

Uongo nikitu(a) kibaya kuliko KUUA.

UOngo.ni.MBAYA.kuliKO.kuUA
 
Sina muda mrefu tangu nijiunge Jf ila najifunza mambo mengi na mawazo ya watu yananisaidia sana kuona mambo kwa upana zaidi!!!!
 
Habari wakuu
Tokea umejiunga Jf umejifunza nini.?Na imekusaidia nini katika maisha yako ukizingatia kuna majukwaa tofauti tofauti.
Binafsi nimejifunza mbinu mbali mbali jinsi ya kukabiliana na changamoto ambazo zilikua zinanitatiza. vipi wewe imekusaidia nini..?
njo tujuzane
Hakika nimejifunza kuishi na mwafrika wa kabila mbalimbali... na zaidi kitaifa!!!
 
Back
Top Bottom