Umejifunza mambo gani JamiiForums..?

Umejifunza mambo gani JamiiForums..?

moto wa maji

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2016
Posts
4,174
Reaction score
3,006
Habari wakuu,
Tokea umejiunga Jf umejifunza nini.?Na imekusaidia nini katika maisha yako ukizingatia kuna majukwaa tofauti tofauti.

Binafsi nimejifunza mbinu mbali mbali jinsi ya kukabiliana na changamoto ambazo zilikua zinanitatiza. Vipi wewe imekusaidia nini..?

Njoo tujuzane.
 
Ilikuwa haijaisha - pia nimepata ideas nyingi sana ambazo Nimekuwa nikizifanyia kazi. Bila kusahau fursa za kibiashara ambazo nimezifanyia kazi na zikafanikiwa.

Ila nimegundua kwamba watu wengi hawatumii hili jukwaa ipasavyo kwa kujielimisha na kujichotea fursa zilizopo.

Wengi wamelifanya jukwaa kijiwe cha kupiga porojo za kisiasa badala ya kujiimarisha kimaarifa. Simaanishi kwamba ni mbaya kufanya siasa, Bali kuifanya kupita kiasi kuna madhara mengi hasi kuliko yaliyo chanya!
 
Ilikuwa haijaisha - pia nimepata ideas nyingi sana ambazo Nimekuwa nikizifanyia kazi. Bila kusahau fursa za kibiashara ambazo nimezifanyia kazi na zikafanikiwa.

Ila nimegundua kwamba watu wengi hawatumii hili jukwaa ipasavyo kwa kujielimisha na kujichotea fursa zilizopo.

Wengi wamelifanya jukwaa kijiwe cha kupiga porojo za kisiasa badala ya kujiimarisha kimaarifa. Simaanishi kwamba ni mbaya kufanya siasa, Bali kuifanya kupita kiasi kuna madhara mengi hasi kuliko yaliyo chanya!
Ngoja waje wanasiasa wataongea tu
 
1.imekua ni source nzur ya mimi kupata habar(sipendagi kusikiliza tv/redio news)
2.nimepata mbinu mbali mbali za kilimo na ufugaji
3.mbinu mbali mbali katika mahusiano
4.nimejifunza kutokukurupuka kuandika habar
5.nimepata ushaur mwingi kuhusiana na mambo yangu ya kifamilia
6.ni sehemu ambayo nikiwa na hasira ndio ya kwanza kuingia ili nicheke kidogo
 
Nimejifunza ujasusi anaoandikaga yeriko,nimejifunza mitazamo mingi sana na jinsi ya kuheshim mawazo ya watu vilevile kuandika kwa lugha stahili yaani sa iwe sa na si xa
hapo njema sana mkuu
 
nimejifunza kuwa ukitumia jina lako halisi unakuwa verified user
 
Nimejifunza jinsi watu wanavyoujadili udikteta mpaka unaulewa vizuri, uchwara, ukabaila, ubeberu, ubabe, aisee kwa kweli nimefaidika sana
 
Moja ya jambo niliyojifunza nimeweza kuona ubaya wa ushabiki wa kisiasa.
 
Back
Top Bottom