Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
yaani sasa mimi ni bingwa wa kusuta na napenda kusuta. ha ha ha ha ha !
Nyie wasomi wakubwa mambo ya uswazi hamyawezi....hayo ya kusutana mtakimbia nchi kabisa
yaani sasa mimi ni bingwa wa kusuta na napenda kusuta. ha ha ha ha ha !
Utajibeba. Ulivyoingilia ndoa ya watu ulitegemea nini? Ndo ujiandae hivyo mama, andika mirathi kabisa.
Wifi kumbe ukimsikia shemejio anaomgelea visabuninvya gesti hausi ulijua ndo saluni ama? Hebu soma msahafu vizuri. Dena Amsi atakuelewesha vingine manake yeye alijiunga na chma kabla yangu:wacko:
Kama ambavyo hakuna walimu wakaka?hivi kuna makuli wadada etiii? just to be curious
teh teh teh!!! hapo sawa mkuu!!That is a free territory...unaweza ukakosea wakaishia kukwambia entrance to this bar could be what what what by the owner....wakiamini ukichukua mke wa boss wa bar basi watakupiga marufuku kunywa baa hiyo.
Noted!weye chezea miye, usomi wangu huishia kwenye makaratasi tu na ofcn nje ya hapo ni bedui mungu hataki.
weye chezea miye, usomi wangu huishia kwenye makaratasi tu na ofcn nje ya hapo ni bedui mungu hataki.
teh teh teh...nilichogundua gfsonwin, sisi ndege wajanja tunanasa kwa tundu bovu. Mtu alivyo nyumbani ni tofauti na akiwa kazini na mtaani. Ila chonde chonde...mzee akikusikia wewe ni bedui?
Kwa hiyo ni vyema kama uko kwenye ndoa utarajie mwenzako kutoka nje ya ndoa yenu. Na hii ni kwa wote, wake na waume. Mke tarajia mumeo kumega nje na mume utarajie mkeo kumegwa nje.
Sasa kama wewe huwezi kuhimili adha za kadhia ya mwenzako nje ya ndoa yenu basi nakushauri usioe au kuolewa. Kama kwako hilo si jambo kubwa sana basi jua kuwa kuna wakati litakutokea tu. Likitokea unaweza ujue ama usijue, lakini kaa ukijua kuwa haliepukiki.
na mimi naskia mke mwenza eti ulipata mswala ikakushinda ukaamua kurudi kwa mbachao kweli haya?
Kitu kimoja ambacho watu wengi hawakijui ni kuwa KAMA HUFANYI INFIDELITY UJUE MKEO/MMEO NDIO KAMANDA WA INFIDELITY! Utafiti wa chama chetu umethibitisha hilo. Kwa hiyo shem we piga infidelity ili mmeo awe safe.... Believe me you.
Do you want more? I've got more in store
teh teh teh!!! hapo sawa mkuu!!
Kwa hiyo ni vyema kama uko kwenye ndoa utarajie mwenzako kutoka nje ya ndoa yenu. Na hii ni kwa wote, wake na waume. Mke tarajia mumeo kumega nje na mume utarajie mkeo kumegwa nje.
Sasa kama wewe huwezi kuhimili adha za kadhia ya mwenzako nje ya ndoa yenu basi nakushauri usioe au kuolewa. Kama kwako hilo si jambo kubwa sana basi jua kuwa kuna wakati litakutokea tu. Likitokea unaweza ujue ama usijue, lakini kaa ukijua kuwa haliepukiki.
AshaDii - Kutokana na mwanguko wa uchumi wa dunia imebidi baadhi wasitishe huduma kwa "small house(s)"...!
aisee hivi Asprin kwani mwezi wa rozari umeshaanza? mbona kama unasema kaitubio? haya ndahani njoo utoe mapoint hapa wewe unayaamini haya?