Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,579
- 50,668
Mkuu kuna uzi wowote humu wa kumuhusu castro!!kama upo na unaufahamu naomba uniite tafadhali.ninataka kumsoma huyu jamaa vizuriCastro alikuwa mwehu sana .
.. kuna ile moja aliyo mnywesha demu wake wa AMERCA ..sharubati ili mimba aliyobeba ( ambayo ni ya castro ) iharibike .. demu alipo ondoka kurudi kwao USA akakutana na CIA wakamjaza upepo kuwa Castro ni mtu mbaya ameitoa mimba yake ...so wakamuagiza cuba ili akamuue ... demu alipo fika tu kwa castro ... castro akampa bastola akamwambia najua umekuja kuniua haya chukua bastola hiyo unimalize kama utakavyo.... (demu akaanza kulia nakumwaga siri yote ) hahaa
Sent using Jamii Forums mobile app