Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,145
- 13,216
invisiblewhere were you.... I find you but where...
invisiblewhere were you.... I find you but where...
Mbona yupo fresh tu anasongesha series la Designated survivor na yule jamaa wa 24 series. Noma kakaYule dada sijui ameishia wapi.. hollywood sijajua kwanini hawampi tena shavu siku hizi maana ni moja kati waigizaji wakike ambao wanamudu vizuri action movies ukiacha Angelina Jolie..
#Muungwana_John
Sana tuuuu!Bado wanatumia sana. Ndio maana mashirika ya kijasusi kama CIA,MI6 na hata la kule russia bado linawatumia sana wanawake.
Sent using Jamii Forums mobile app
mwanamke ni mashine hatari sana nani ataniambia sababu za gadafi kuwaamini mwanamke kama walinzi wake. View attachment 1000790View attachment 1000791
Jr
Kwenye kitabu hicho husika wanawake walikuwa wanauliwa hisia zao za upendo kwa njia ya ajabu mno
Kwanza wanawekwa kwenye jumba la kifahari mno na kupewa huduma zote muhimu kasoro ngono, na hawawezi hata kusagana kwakuwa kila mtu anakuwa kwenye chumba chake pekeyake
Halafu kila wiki wanawekwa kwenye swimming pool nzuri mno wakiwa uchi kabisa halafu wanaletewa wanaume mahanithi waliohasiwa
Kwahiyo pamoja na hamu zao zote lakini hakuna wa kuwatimizia... Hii hali inaendelea hivyo mpaka wanawaona wanaume ni kama wao tu...
Training za kuwaua kihisia ni nyingi na wanapothibitishwa kuiva huanza Sasa kufundishwa ujasusi... Na watafanya kile watakachoelekezwa tu
nchi hiyo ni hatari sana weka mbali na watotoSema polepole
Jr
UNANIKUMBUSHA MOVIE YA NAKED WEAPON
Hio haihitaji PhD maana hata mzee wangu tu naogopa kumpa ramani zangu. Maana kila ukimdokezea tu siku 3 nyingi mkewe lazima aniambie ishu flani inaendaje wakati sikutaka hata ajue!
Acha kabisa.
Tena ukute mwingne ana utundu wa kuchange gear anagani aisee... akiwa jikoni glass ziki gongana unahis ana kuita....! HahahaHapa ukute mtoto ndio anajua kufyonza mjulubeng wako kitandani. Kitu mnato af anakusikiliza sana na kukubembeleza mno mbona unaropoka siri zote tu yani akikohoa tu upo nyumbani.
Ndo maana Mc Chachandu alitoa chozi siku ile ya kumvisha pete totoz lake.. Mapenzi Upofu..
#Muungwana_John
Yeah alikaza sura na unyoro kabisa na kububujisha mchozi. Ha ha ha kioja cha kufungulia mwaka kile, jamaa akidumu na hio ndoa ashukuru mungu sana!
Mnaaminisha ujinga tunchi hiyo ni hatari sana weka mbali na watoto