ULOZI: Mbeya mnafaidikaje?

ULOZI: Mbeya mnafaidikaje?

Hakuna watu wa ajabu kama wanyakyusa wanatumia dini kama ngao ya kuficha uchawi, wazee wa makanisa huko mbeya wengi ni wachawi sana, wakimchukia Mchungaji watamfanyia zengwe za kichawi familia yake na watoto mpaka wahame, huko mbeya watu wanaanika unga wa mahindi na mkaa kipande juu ya unga, shame on you
mbeya kuna makanisa kila kona lakini wanaongoza kwa uchawi
 
Nilifungua ofisi ya bima Mbeya (Mwanjelwa, Stendi kuu, Mbeya & baadae Tunduma) lakini hawa jamaa (wanyakyusa) hawapend kuona mtu wa mbali (ukitoa Sumbawanga, Songea & Iringa=Wachawi wenzao) amefanikiwa hapo Mbeya.

Maana kila siku asubuhi mfanyakaz anakuta hiriz na maneno ya kiarabu. Mpaka sasa nimefunga ofs ya Mwanjelwa & Stendi kuu na ya Tunduma naangalia upepo.

WANYAKYUSA punguzen ULOZI mtakufa macho wazi.

Hilo ni tatizo kubwa zaidi ya Mkoa wa Mbeya peke yake. Kwa mfano najiuliza nani alikuwa anafaidika na biashara ya viungo vya walemavu wa ngozi?
Ya bwana Komba wa Songea na nyoka wake ambaye inasemekana alikuwa anaenda naye mpaka kazini....
Tamaduni zetu nyingi zimetufanya wanafiki...kwa nje tunapenda kuonekana tunaabudu dini au ukristu au uislamu au nyingine zenye kupingana na mambo ya kishirikina. Ila kwa siri ni wafuasi wakubwa wa ushirikina na mambo yake.
 
Nimetembelea mikoa ya Mwanza, Geita, Simiyu, Kagera (yote), Morogoro, Dar es salaam, Pwani, Rukwa, Katavi, Mbeya (Nyumbani) na Shinyanga. Ila hakuna mikoa yenye uchawi na ushirikina wa wazi kama DAR ES SALAAM NA pwani.
Ingawa kila sehemu uchawi upo ila Mikoa ya Pwani ni wamezidi.
Kuna siku usiku tulikua tunatoka harusini km saa sita hivi...
Tukakuta nazi km 50 na zaidi zimevunjwa katikati ya njia panda fulani mtaa siufahamu kwa jina kuelekea coco beach zimechorwa kiarabu na wino mwekundu..nikawaza huyu mtu kamwaga saa ngpi na ile njia haikosi magari
 
Mtoa mada nahisi una chuki binafsi na wanyakyusa, Mbeya wanyakyusa wanaomiliki biashara kubwa wanahesabika. We unafikiri kila mtu mbeya ni mnyakyusa. Hata huko mbarari wakazi wake ni wasangu. 70% ya wafanyabiashara mbeya ni akina Sanga na hata ukiuliza top ten ya makabila yanayosifika kwa biashara Tanzania sidhani kama wanyaki watakuwemo. Kinachowaponza wanyakyusa ni kuongea sana lugha yao hadharani kitu kinachofanya mbeya ionekane ni yao peke yao. Wasafwa ni wengi sana ila hawaongei lugha yao hovyo hivyo huonekana wapo wachache lakini ukienda uyole na mbalizi wao ni zaidi ya 60%
 
Nilifungua ofisi ya bima Mbeya (Mwanjelwa, Stendi kuu, Mbeya & baadae Tunduma) lakini hawa jamaa (wanyakyusa) hawapend kuona mtu wa mbali (ukitoa Sumbawanga, Songea & Iringa=Wachawi wenzao) amefanikiwa hapo Mbeya.

Maana kila siku asubuhi mfanyakaz anakuta hiriz na maneno ya kiarabu. Mpaka sasa nimefunga ofs ya Mwanjelwa & Stendi kuu na ya Tunduma naangalia upepo.

WANYAKYUSA punguzen ULOZI mtakufa macho wazi.

Mkuu hawa wanyakyusa ndivyo walivyo. Ni watu waliojaa wivu na ukabila wa kutisha. Uchawi, unafiki na ukatili ndiyo rangi yao. Ukiwaona wanachecka chaeka, wanatafuta jambo. Siyo watu wale mkuu. Kaa nao kwa akili.
 
Mmekomaa tu wachawi, nyie vipi? Maumivu ya investment failure hayo! Pia mnavyobwabwaja ni watu wa karne kabla kabisa ya kuzaliwa kristo yani B. C hamna exposure kabisa na biashara mmekalia majungu,,,, mimi nipo Moshi hapa kuna kipya gani huku mnachotaka kusifia mmejaa wenyewe tu at least Mbeya wanakaribisha wageni, hiyo Tunduma kama nayo imekushinda we tafuta kazi ya house boy itakufaa biashara huwezi nyani ngabu wewe...
Nyani Ngabu kumbe tusi?
 
NGOJA Niwe MNYAKYUSA kwa muda labda mtanielewa: Wenzetu kaskazini wanashindania maendeleo sisi wanyakyusa tumekalia UCHAWI. Haikubaliki hii.
 
Back
Top Bottom