ULOZI: Mbeya mnafaidikaje?

ULOZI: Mbeya mnafaidikaje?

Acha zako wewee, una generalize. Aliyekuambia ni wanyakyusa ndo wanakufanyia hivo nani? Una uhakika gani? Kwa hyo ya wakazi na wafanyabiashara wa Mbeya ni wanyakyusa?? Una imani haba, ndo mana hayo yanakukuta. Utukome wanyakyusa. Kama yamekuahinda kivyako, do not generalize
 
Hawapendagi maendeleo ya wengine hiyo ni asili yao wala usingefunga baada ya muda wangezoea tu,yaani hata ukioa mnyakyusa ujue atakuwangia tu.
Acha roho mbaya. Mchawi anamjua mchawi mwenzie.. Wee mwenyewe lazma utakuwa mlozi. Utukome wanyakyusa
 
Nilifungua ofisi ya bima Mbeya (Mwanjelwa, Stendi kuu, Mbeya & baadae Tunduma) lakini hawa jamaa (wanyakyusa) hawapend kuona mtu wa mbali (ukitoa Sumbawanga, Songea & Iringa=Wachawi wenzao) amefanikiwa hapo Mbeya.

Maana kila siku asubuhi mfanyakaz anakuta hiriz na maneno ya kiarabu. Mpaka sasa nimefunga ofs ya Mwanjelwa & Stendi kuu na ya Tunduma naangalia upepo.

WANYAKYUSA punguzen ULOZI mtakufa macho wazi.
mbeya kuna maustaadhi wengi kuliko mikoa mingine hadi ukute maneno ya kiarabu kaka? we sema wafanyabiashara wa bima wenzio walikuwa wanakuendea kwa maustaadh regardless of which mkoa.wanyakyusa sio washirikina kama unavyofikiri, hata yale maduka mbeya uyaonayo mengi sio ya wanyakyusa, ni wakiinga na wabena, na wandali, hao ndio wanaoongoza kwa uchawi na kuweka ndondocha watoto wao.
 
Pale mwanjelwa wamejaa wakinga hao ndo wana mambo hayo waombe radhi wanyaki
 
Hakuna watu wa ajabu kama wanyakyusa wanatumia dini kama ngao ya kuficha uchawi, wazee wa makanisa huko mbeya wengi ni wachawi sana, wakimchukia Mchungaji watamfanyia zengwe za kichawi familia yake na watoto mpaka wahame, huko mbeya watu wanaanika unga wa mahindi na mkaa kipande juu ya unga, shame on you
 
mbeya kuna maustaadhi wengi kuliko mikoa mingine hadi ukute maneno ya kiarabu kaka? we sema wafanyabiashara wa bima wenzio walikuwa wanakuendea kwa maustaadh regardless of which mkoa.wanyakyusa sio washirikina kama unavyofikiri, hata yale maduka mbeya uyaonayo mengi sio ya wanyakyusa, ni wakiinga na wabena, na wandali, hao ndio wanaoongoza kwa uchawi na kuweka ndondocha watoto wao.
Nenda huko kyela au Tukuyu huko kuna kitu wanaita ndyeki ni shidaa
 
nimefungulia Singida maisha yanaenda kama kawa...Mbeya sitakaa nikanyage tena mijitu mibinafsi imejaa roho mbaya kama mashetani
Itakuwa ulizidiwa nguvu ww.......KILA SEHEMU UKIBEEP WANAKUPIGIA. Jitahidi usiwachezee wa singida afu ukarudi tena humu jamvini kujuta kuzaliwa
 
Afu humu JF nimegundua kitu....kuna watu huwa wanachokoza makabila makubwa kwa sababu wanajua watapata wachangiaji wengi.....HILO TU!!!
 
Mie nilidhani Nyanda za Juu Kusini mkoa wenye wachawi wa wazi ni Njombe kwa kuwa nina ushahidi wa watu waliologwa hadharani. mfano wa kwanza kuna ndugu yangu anafanya kazi huko Njombe, Lupembe, Havanga, Kidegembiye aliamua kufuga nguruwe, nguruwe wake mmoja akawa na mimba, akapita bibi akamwambia maneno haya "hivi unatarajia kupata vitoto vya nguruwe eee, nakwambia hiyo sahau" na kweli siku nguruwe ana zaa akawa anatoa placenta a.k.a kondo la nyuma tuu hakuna kitoto hata kimoja!
Mfano wa pili ni yule binti Bernadetha Msigwa aliyepata upofu akiwa anasoma Mzumbe mwaka wa tatu na JPM akachangia 10,000,000 baada ya kusikia habari zake Clouds, yule binti baba yake ni mwalimu mkuu wa shule ya msingi, alikuwa hana mkopo wa masomo, majirani walisema hadharani kuwa tutaona kama kweli atamaliza hiyo chuo kikuu yake, na kweli Berna amekuwa kipofu hadi leo
 
Haya mambo ya uchawi na ushirikina yanashangaza sana. Kwanini watu wanaamini haya mambo sana? Mimi toka nimezaliwa sijawahi kukutana na kisa chochote eti niseme ni ushirikina. Kuamini haya mambo ni ujinga wa hali ya juu. Unakuta watu wanaishi kwa hofu hadi unashangaa. Kwanini msiwe huru? Hata kama familia ilikuaminisha hayo mambo ya kusadikika kwanini usiachane nayo? Maama aliwazalo mjinga ndilo linalomtokea.

Unakutana na dada/kaka fresh kabisa lakini kapigwa chale mwilini eti kujilinda? Mbona tabu sana hizi? Kwanini watu wanaamini sana mambo yakufikirika wakidhani kweli?
 
1.Sasa mbona umeshajijibu mwenyewe, kwamba ni maneno ya kiarabu sasa mnyakyusa na uarabuni ana mahusiano gani. Kama ulikuta ya kinyakyusa hapo sawa sasa origin ya uarabu ni mbeya kwani?
2. Mbona mnapenda kudhalilisha uislamu au uarabu sana? Kwanini kila neno la uchawi mnahisi kuwa ni la kiarabu? Unamaanisha kuwa hata ukiona kitabu kitakatifu cha Quran utasema uchawi au? Mimi binafsi sijakuelewa.
3. Nakushauri fuatilia kwenye ukoo wako lazima kuna tatizo na siyo kusingizia mbeya

Mkuu mbona umehusisha uarabu na uislam?
 
Mie nilidhani Nyanda za Juu Kusini mkoa wenye wachawi wa wazi ni Njombe kwa kuwa nina ushahidi wa watu waliologwa hadharani. mfano wa kwanza kuna ndugu yangu anafanya kazi huko Njombe, Lupembe, Havanga, Kidegembiye aliamua kufuga nguruwe, nguruwe wake mmoja akawa na mimba, akapita bibi akamwambia maneno haya "hivi unatarajia kupata vitoto vya nguruwe eee, nakwambia hiyo sahau" na kweli siku nguruwe ana zaa akawa anatoa placenta a.k.a kondo la nyuma tuu hakuna kitoto hata kimoja!
Mfano wa pili ni yule binti Bernadetha Msigwa aliyepata upofu akiwa anasoma Mzumbe mwaka wa tatu na JPM akachangia 10,000,000 baada ya kusikia habari zake Clouds, yule binti baba yake ni mwalimu mkuu wa shule ya msingi, alikuwa hana mkopo wa masomo, majirani walisema hadharani kuwa tutaona kama kweli atamaliza hiyo chuo kikuu yake, na kweli Berna amekuwa kipofu hadi leo
Dahhh......!!!!!
 
Mie nilidhani Nyanda za Juu Kusini mkoa wenye wachawi wa wazi ni Njombe kwa kuwa nina ushahidi wa watu waliologwa hadharani. mfano wa kwanza kuna ndugu yangu anafanya kazi huko Njombe, Lupembe, Havanga, Kidegembiye aliamua kufuga nguruwe, nguruwe wake mmoja akawa na mimba, akapita bibi akamwambia maneno haya "hivi unatarajia kupata vitoto vya nguruwe eee, nakwambia hiyo sahau" na kweli siku nguruwe ana zaa akawa anatoa placenta a.k.a kondo la nyuma tuu hakuna kitoto hata kimoja!
Mfano wa pili ni yule binti Bernadetha Msigwa aliyepata upofu akiwa anasoma Mzumbe mwaka wa tatu na JPM akachangia 10,000,000 baada ya kusikia habari zake Clouds, yule binti baba yake ni mwalimu mkuu wa shule ya msingi, alikuwa hana mkopo wa masomo, majirani walisema hadharani kuwa tutaona kama kweli atamaliza hiyo chuo kikuu yake, na kweli Berna amekuwa kipofu hadi leo
Njombe na Mbeya hakuna tofauti, wote ni wale wale
 
Back
Top Bottom