Boflo JF-Expert Member Joined Jan 20, 2010 Posts 4,383 Reaction score 4,412 Jul 28, 2013 Thread starter #21 Mamndenyi said: Haaa we uu she au he kwani. Click to expand... Aaaah mamndenyi nawe
Inside10 JF-Expert Member Joined May 20, 2011 Posts 33,765 Reaction score 40,507 Jul 28, 2013 #22 dogo shughulika ilnichukua miezi 2 kumpata Madame B Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
miss strong JF-Expert Member Joined Jul 4, 2012 Posts 7,011 Reaction score 3,708 Jul 28, 2013 #23 Teh teh teh.....daaaah.Mambo ya wokovu hayo
Money Stunna JF-Expert Member Joined Aug 9, 2011 Posts 13,053 Reaction score 6,328 Jul 28, 2013 #24 unatongoza kwa mdomo tu.mdomo ata mbuzi anao. wapeleke ulaya. america harafu uwatongoze ukiwa uko. si mtandaoni.
unatongoza kwa mdomo tu.mdomo ata mbuzi anao. wapeleke ulaya. america harafu uwatongoze ukiwa uko. si mtandaoni.
Boflo JF-Expert Member Joined Jan 20, 2010 Posts 4,383 Reaction score 4,412 Jul 28, 2013 Thread starter #25 Nyani Ngabu said: Hao walokole ni wanafki wakubwa. Kama si wanafki basi wanaumwa akili au wako mbioni kuumwa akili. Wale wanafki ndo vinara wa maovu. Ulokole wao ni zuga tu. Ukiwachimba kwa kina utagundua wengi ni mafisadi mamboleo. Click to expand... Sadakta... mbona humuulizii Jasu siku hizi
Nyani Ngabu said: Hao walokole ni wanafki wakubwa. Kama si wanafki basi wanaumwa akili au wako mbioni kuumwa akili. Wale wanafki ndo vinara wa maovu. Ulokole wao ni zuga tu. Ukiwachimba kwa kina utagundua wengi ni mafisadi mamboleo. Click to expand... Sadakta... mbona humuulizii Jasu siku hizi
C cylu Member Joined Sep 21, 2010 Posts 90 Reaction score 48 Jul 28, 2013 #26 Tatizo nini na wewe si uokoke!
King Kong III JF-Expert Member Joined Oct 15, 2010 Posts 60,418 Reaction score 88,743 Jul 28, 2013 #27 "Wasanii wanaigiza kaole CD dukani kina dada wanaigiza ulokole miili buchani"-B Boy Stereo
TIQO JF-Expert Member Joined Jan 8, 2011 Posts 13,786 Reaction score 2,102 Jul 28, 2013 #28 Mi huwa naokoka kwa muda
Boflo JF-Expert Member Joined Jan 20, 2010 Posts 4,383 Reaction score 4,412 Jul 28, 2013 Thread starter #29 ....... Attachments image.jpg 45.7 KB · Views: 143
TIQO JF-Expert Member Joined Jan 8, 2011 Posts 13,786 Reaction score 2,102 Jul 28, 2013 #30 Boflo said: Sadakta... mbona humuulizii Jasu siku hizi Click to expand... Ustadhi ubwabwa hujafunga?
BADILI TABIA JF-Expert Member Joined Jun 13, 2011 Posts 32,766 Reaction score 23,217 Jul 28, 2013 #31 mmmmmmh
Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Joined Feb 3, 2009 Posts 43,037 Reaction score 34,741 Jul 28, 2013 #32 Mamndenyi said: Haaa we uu she au he kwani. Click to expand... Mimi pia nimeokoka mlokole lakini nimeokoka kwa bibie Mamndenyi Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Mamndenyi said: Haaa we uu she au he kwani. Click to expand... Mimi pia nimeokoka mlokole lakini nimeokoka kwa bibie Mamndenyi
kahtaan JF-Expert Member Joined Jul 11, 2009 Posts 19,156 Reaction score 11,608 Jul 28, 2013 #33 Nyani Ngabu said: Hao walokole ni wanafki wakubwa. Kama si wanafki basi wanaumwa akili au wako mbioni kuumwa akili. Wale wanafki ndo vinara wa maovu. Ulokole wao ni zuga tu. Ukiwachimba kwa kina utagundua wengi ni mafisadi mamboleo. Click to expand... We juzi hapa si ulikuwa unatetea ulibereli? Leo machangudoa una walaani! Yaani wewe ni 99% mliberali! Unapenda wanamme! Na unachukia wanawake! Una laana wewe! Nyani mdogo!
Nyani Ngabu said: Hao walokole ni wanafki wakubwa. Kama si wanafki basi wanaumwa akili au wako mbioni kuumwa akili. Wale wanafki ndo vinara wa maovu. Ulokole wao ni zuga tu. Ukiwachimba kwa kina utagundua wengi ni mafisadi mamboleo. Click to expand... We juzi hapa si ulikuwa unatetea ulibereli? Leo machangudoa una walaani! Yaani wewe ni 99% mliberali! Unapenda wanamme! Na unachukia wanawake! Una laana wewe! Nyani mdogo!
Joeli JF-Expert Member Joined Apr 25, 2011 Posts 4,941 Reaction score 3,414 Jul 28, 2013 #34 madameA madame MadameX............................................ Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Madame B JF-Expert Member Joined Apr 9, 2012 Posts 31,835 Reaction score 37,445 Jul 28, 2013 #35 Mimi Nimeokoka na ninampenda sana Yesu.
ianmushi Member Joined Aug 12, 2012 Posts 10 Reaction score 2 Jul 28, 2013 #36 kahtaan said: We juzi hapa si ulikuwa unatetea ulibereli? Leo machangudoa una walaani! Yaani wewe ni 99% mliberali! Unapenda wanamme! Na unachukia wanawake! Una laana wewe! Nyani mdogo! Click to expand... Hahhahahaha nimeipenda hyo
kahtaan said: We juzi hapa si ulikuwa unatetea ulibereli? Leo machangudoa una walaani! Yaani wewe ni 99% mliberali! Unapenda wanamme! Na unachukia wanawake! Una laana wewe! Nyani mdogo! Click to expand... Hahhahahaha nimeipenda hyo
kahtaan JF-Expert Member Joined Jul 11, 2009 Posts 19,156 Reaction score 11,608 Jul 29, 2013 #37 Madame B said: Mimi Nimeokoka na ninampenda sana Yesu. Click to expand... Hata mimi nampenda Yesu vilevile! Lln yule Yesu original!
Madame B said: Mimi Nimeokoka na ninampenda sana Yesu. Click to expand... Hata mimi nampenda Yesu vilevile! Lln yule Yesu original!
mdida JF-Expert Member Joined Jul 14, 2011 Posts 1,607 Reaction score 777 Jul 29, 2013 #38 Jamani sio siri JF ndo mwake, boflo we umeokoka? basi fumba macho tusali.
snowhite JF-Expert Member Joined Aug 2, 2012 Posts 18,422 Reaction score 25,322 Jul 29, 2013 #39 Boflo said: snowhite kuja huku na ww pia kwa kuokoka hujambo Click to expand... ahahahahhahahhahha King'asti amenifanya niijue sana bibo! unampa sana mashopping voucher nimethutha! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Boflo said: snowhite kuja huku na ww pia kwa kuokoka hujambo Click to expand... ahahahahhahahhahha King'asti amenifanya niijue sana bibo! unampa sana mashopping voucher nimethutha!
King’asti Platinum Member Joined Nov 26, 2009 Posts 27,866 Reaction score 24,976 Jul 29, 2013 #40 snowhite unanitengulia swaum mama. Mie sijamchuna Boflo bila ushirikiano wako! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016